Salaam kwenu,husika kichwa cha habari hapo juu.
Kutokana na hari halisi ya maisha yanavyokwenda,nimeona niwashirikishe hili sana jf wenzangu wa Mtwara ili tu kupata msaada wenu.
Kuna ndugu yangu amemaliza saut mwaka juzi,bahati nzuri alipata mkopo,baada ya kujibana akaamua kununua kipande...