Tofauti ya bei ya vyakula kipindi cha Kikwete na sasa Magufuli. Kupungua huku kwa bei ya chakula Rais Magufuli anahitaji hongera

1. Mahindi kipindi cha JK kilo tsh1200 sasa JPM tsh1000

2. Mchele kipindi cha JK kilo tsh 2000 hadi 2400 JPM tsh1400 hadi 1800

3. Maharage kipindi cha JK tsh 2400 hadi 3000 sasa kipindi cha JPM tsh 1600 hadi 2000

4. Bei ya nyama na samaki bado haijabadilika

5. Bei ya sukari imebakia katika tsh 2400 tangu ilipo poromoka mwaka 2016 na chumvi imebakia ile ile

Licha ya hujuma kwenye mafuta ya kupikia bado Serikali imepamban na bei kubakia ya kipindi cha JK.

MY TAKE

Kama hali itaendelea hivi basi ni 2020 JPM atapata ushindi ambao haujawahi kuonekana kwa eneo la maziwa makuu

Na kura msiibe, mfanye uchaguzi kuwa huru na haki halafu tukutane kwenye matokeo.
 
Sasa kama gharama za maisha zinashuka mshahara uongezwe wa nini..? Huduma za maji zipo..siku hizi mkazi wa ubungo, manzese, mbagala ndoo ananunua 50/= badala ya 1000/=, umeme analetewa wa senti 10/=, unga na mchele ndio huo bwerere, huduma za afya kaletewa hadi mlangoni vituo vya afya, dawa za kutosha hakuna habari ya kanunue dawa duka lipo nje hapo mkono wa kulia, nauli ziko pale pale..hata mwezi wa 12 zimezibitiwa tofauti na miaka ya nyuma, mwendokasi ulitakiwa upande kwa tsh 2000, ila huu mwaka wa tatu unapanda kwa tsh 650..

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri unaishi kwa Shemeji unavumilia mengi kama unaweza kuvumilia sauti za Dada yako akikazwa haushindwi kuongea hivyo akiachika na were unaachika...pole sana
 
We jamaa ni bweha kweli kweli,kwenye huo ulinganisho wako bado hujamalizia sema pia kwamba,
Kipind cha Jk,kulikuwa na mafisadi,watumishi hewa,mikopo vyuoni,ajira mpya kila mwaka,viongozi kusafiri nje ya nchi,sikukuu za kitaifa,kupanda madaraja watumishi ,labda na makusanyo madogo ya kodi,LAKINI PESA ILIKUWEPO KWA SERIKALI,WANANCHI NA MIRADI PIA YA SERIKALI ILIKUWA MINGI.
ILA SASA HAKUNA MIKOPO,AJITA,HAKUNA KUSAFIRI,HAKUNA HAO WATUMISHI HEWA HAKUNA KUPANDA MADARAJA NK LAKINI HAKUNA PESA MTAANI WALA KWA SERIKALI.
 
1. Mahindi kipindi cha JK kilo tsh1200 sasa JPM tsh1000

2. Mchele kipindi cha JK kilo tsh 2000 hadi 2400 JPM tsh1400 hadi 1800

3. Maharage kipindi cha JK tsh 2400 hadi 3000 sasa kipindi cha JPM tsh 1600 hadi 2000

4. Bei ya nyama na samaki bado haijabadilika

5. Bei ya sukari imebakia katika tsh 2400 tangu ilipo poromoka mwaka 2016 na chumvi imebakia ile ile

Licha ya hujuma kwenye mafuta ya kupikia bado Serikali imepamban na bei kubakia ya kipindi cha JK.

MY TAKE

Kama hali itaendelea hivi basi ni 2020 JPM atapata ushindi ambao haujawahi kuonekana kwa eneo la maziwa makuu
Hujatuletea bei za mbolea
 
hebu tuwekee source ya hizo data zako mkuu au hijui kuchapisha ripoti tofauti na za serikali ni kosa kisheri.

pia utuwekee na Bei ya mazao ya biashara Kama
kahawa
korosho
tumbaku na
pamba

huku bado tunachemsha zile mbaazi zimeshuka Bei kwelijweli yani nikiwa na buku nanunua 10kg
 
Mpaka unit ya umeme imeshuka
Riba za mabank kutoka 20% mpaka 16%

JPM chuma
Kuna wengine wanazungusha bakuli kwa wazungu wakati gharama za maisha zipo chini.
gharama zote hizo anabeba mkulima,hana mtetezi halisi.mkulima hana jukwaa la kujitetea,wanasiasa walafi wa madaraka wanataka kuvuna credit kwa gharama za mkulima.
 
Naomba kujua trends ya bei kwa vitu muhimu kama vile unga wa sembe, ngano, sukari n.k. kwa awamu mbalimbali.
 
Back
Top Bottom