Sijajua upo idara Gani lakini wazo zuri kama umefanya kazi miaka miwili chukua mkopo wekeza kwanza usikimbilie kujenga pesa haitatosha utabakiza boma na pesa itakuwa inaendelea kukatwa
kwakuwa Heche ni kiongozi mwenye maono makubwa ukilinganisha na waccm Sasa utamchunguza mtu ambaye Hana makosa si ww ndio utakuwa na makosa huyo ni TUNU KWA TAIFA LETU na watoto wako
Ukitaka amani katika jamii ya kiislamu lazima uwape nafasi Wayahudi Yani kwenye panya pekeka paka lazima watatafutana waruhusu waislamu 2000 Kisha waingize Wayahudi 500 tu hapo mashehe lazima wskimbie namana UYAHUDI hauna usalia mtume ukiwavunjia heshima kwa MUNGU aliyehai chap wanakunyosha
Anza taratibu Kila kitu kilianza kidogo kidogo Kisha kitu kamili ukiwa unakula fegi unaweza kushika pesa mkono mmoja unampa pesa ya nyama au ya kwake akatumie tenga kias flani hivi kutokana na hazi zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.