Recent content by Chinchiler

  1. Chinchiler

    KERO Uchumi wa "Mr" umeyumba, nalea familia mwenyewe, maisha ni magumu sana, natamani kujiua

    Viongozi kukusaidia mpaka uwe na umbo zuri na ukubali kuwapa penzi
  2. Chinchiler

    Namheshimu Papa ila kwa ukimya wake kwa Iran kuua raia zaidi ya 40,000, mauaji ya Nigeria na mengine, sina budi kumuunga mkono Trump

    Ikitokea HAMASI, BOKO HARAM wamevamia kanisani na kuchinja watu papa hawezi kukemea hayupo kwa ajili ya dini Wala amani tambua Hilo... NETANYAHU MUNGU AZIDI KUMLINDA DHIDI YA MUSLIM
  3. Chinchiler

    Baada ya Marekani kushindwa vita mashariki ya kati, Israel haitaweza tena kujilinda

    Marekani inategemea kulindwa na ISRAEL ndio mana Leo wamewapelekea moto makafiri ya Iran
  4. Chinchiler

    Kwanini Heche hapingi vita Mashariki ya kati?

    Mashariki ya kati inamuhusu nini ulishasikia mashariki ya kati Wanasemea Tanzania acha waoneshane u babe huko Hiyo ndio inatakiwa Ningekuona wamana ungezungumzia SUDANI, CONGO, SOMALIA mavi kabisa ww
  5. Chinchiler

    Wakuu nina swali?

    Hakuna tajiri anaeteseka ndugu namana huyo tajiri Anaweza kuhamishia makazi yake hospital pesa ikawa inamtendea kazi
  6. Chinchiler

    Tundu Lissu anapaswa Aendelee kukaa ndani Mpaka Akili imkae Sawa na Aombe Msamaha Kwa Taifa. Hakuna wa Kumpigania Wala kumtetea Hapa

    Ww hata uanzishe uchawa wa namna gani hustahili kupewa nafasi yeyote na watu jamii Yako wanazalauliwa sana kwa kukosa akili timamu dishi lishayumba labda uende mloganzila wakakufanyie majaribio yakukupandikizia
  7. Chinchiler

    KERO Walimu ajira mpya Halmashauri ya Geita Vijijini hawajalipwa fedha za kujikimu tangu Januari 2025

    Kwa halmashauri ya Geita kulipwa ni ndoto sahau nazani ndio halmashauri wezi Tanzania namba Moja ni Geita
Back
Top Bottom