Recent content by Chinchiler

  1. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Mtoa mada hilo ni janga la Taifa kwa Sasa Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
  2. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Hakuna mwamba kama HECHE nazani ww ni mamluki tu humu
  3. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Shida nini hasa mdogo wangu tuzungumzie maendeleo ya Taifa LETU na namna ya kuenenda na sheria
  4. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanataka haki bila wajibu, watoe darasa kwa umma.

    Jitahidi uwe na uwezo wa kujenga hoja ueleweke hapo sijakuelewa sijui unaiunga mkono au unawatupia lawama chadema
  5. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Upigaji kupitia semina za kutoa mafunzo kazini, Chanzo cha elimu duni.

    Hii nchi mpaka kutumia Mtutu ndio watu wataelewa
  6. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Je, Watumiaji wa JamiiForums Wako Salama Kweli? Siri za Privacy Baada ya Jukwaa Kufunguliwa!

    Hatupo salama kwa 90 labda asilimia 10
  7. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu mkopo wa CRDB

    Sijajua upo idara Gani lakini wazo zuri kama umefanya kazi miaka miwili chukua mkopo wekeza kwanza usikimbilie kujenga pesa haitatosha utabakiza boma na pesa itakuwa inaendelea kukatwa
  8. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais Samia ni balaa. Aondoka uwanjani kimyakimya kwa mwendo wa kikomandoo bila kuzungumza neno lolote

    Lacas mshamba hata asifiaje bado Hana hazi ya kuwa hata diwani ni mlimbukeni tosha
  9. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    kwakuwa Heche ni kiongozi mwenye maono makubwa ukilinganisha na waccm Sasa utamchunguza mtu ambaye Hana makosa si ww ndio utakuwa na makosa huyo ni TUNU KWA TAIFA LETU na watoto wako
  10. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anataka kujiunga na chama fulani cha siasa. Nina hofu sana

    Una kazi na hapo mwenyekiti wa ccm akianza kumla ukimpinga akuua wew Cha msingi Anza kujiengua taratibu
  11. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Uislamu wa Itikadi Kali: Somo la Ulaya, Unafiki wa Kimfumo, na Onyo kwa Marekani

    Ukitaka amani katika jamii ya kiislamu lazima uwape nafasi Wayahudi Yani kwenye panya pekeka paka lazima watatafutana waruhusu waislamu 2000 Kisha waingize Wayahudi 500 tu hapo mashehe lazima wskimbie namana UYAHUDI hauna usalia mtume ukiwavunjia heshima kwa MUNGU aliyehai chap wanakunyosha
  12. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani kinakupa furaha zaidi kwenye maisha yako..?

    Umeongea ukweli mtupu noted
  13. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Nimfanyeje mke wangu aipende na kuifurahia harufu ya sigara isimkere, Ndoa bado Changa

    Anza taratibu Kila kitu kilianza kidogo kidogo Kisha kitu kamili ukiwa unakula fegi unaweza kushika pesa mkono mmoja unampa pesa ya nyama au ya kwake akatumie tenga kias flani hivi kutokana na hazi zenu
  14. Chinchiler

    JamiiForums Tanzania Kuna dada nadate nae, nilipanga kumuoa lakini naghairi

    Weka namba zake tuone
Back
Top Bottom