Recent content by Chimulenge

  1. Chimulenge

    Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Hayati Ali Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali

    https://youtu.be/aqIe3zsO5mU?si=XOhL4rcREQzcSyRz Mbowe akitoa maelezo baada ya kuchukua mwili wa mwanachama wao aliyetekwa na polisi na kisha mwili wake kuokotwa huko ununio. Fatilia.
  2. Chimulenge

    INAUZWA Jiko plate 2 linauzwa Tsh. 50,000/-

    Mkuu bado jiko lipo nina 40k
  3. Chimulenge

    Natafuta muuza mayai ya kienyeji aliyepo Dodoma vijijini.

    Vijijin kwenyewe yai wanauza 250 mpaka 300
  4. Chimulenge

    Natafuta muuza mayai ya kienyeji aliyepo Dodoma vijijini.

    Ahsante.. kwa hiyo bei huwezi kupata mkuu
  5. Chimulenge

    Natafuta muuza mayai ya kienyeji aliyepo Dodoma vijijini.

    Bei ndo hujaniambia boss, nimekupm
  6. Chimulenge

    Natafuta muuza mayai ya kienyeji aliyepo Dodoma vijijini.

    Unahitaji kiasi gani kwa siku, na ni biashara endelevu au ya muda?
  7. Chimulenge

    Natafuta muuza mayai ya kienyeji aliyepo Dodoma vijijini.

    Trey unanunua kwa bei gani mkuu?
  8. Chimulenge

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Ok mkuu, kilo ulisema bei gani? Unaweza kunimention kwenye huo uzi?
  9. Chimulenge

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Mshana Jr ulipata yale matairi ya gari na yale machafu yaliyokatwakatwa?
  10. Chimulenge

    Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

    UPDATE NAWASHUKURU WOTE KWA MICHANGO YENU YOTE.. TAYARI NIMEMPATA MTU HIVYO SITAHITAJI MTU MWINGINE KWA SASA.. NAWATAKIENI MAJUKUMU MEMA KATIKA UTAFUTAJI WENU
  11. Chimulenge

    Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

    Akifanikiwa mtu, ndo zile kauli uibuka yule hela zake freemason, ahaha
  12. Chimulenge

    Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

    Ninachoweza kusema kuhusu ni kwamba umasikini ni kitu kibaya sawa, tujitahidi kukifukuza..
  13. Chimulenge

    Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

    Si wote wana mawazo ya kuiba au kutapel tu, acha hizo mambo mkuu
Back
Top Bottom