Popote kambi MkuuYanini, kuna la kikundi cha akina mama linakufaa
Unaitwa tapeli kulingana na unachopost jukwaa la maelfu Kama hili hutakosa wafuasi watatupa mrejesho wa kiontarioHiyo ni mipango yako mkuu!!, maana mimi siko hapa kutapeli bali kile nilichokikusudia kukifanya biashara na mtu mmoja kwasasa maana soko halijawa kubwa kuhitaji watu wengi uliyowapigia mahesabu wewe... Halafu si vzr kumhukumu mtu kwa hisia zako acha itakusaidia sana na kuepuka mikwaruzano na watu mkuu... Leo hii mimi nikiibuka tu nakusema wewe ni tapeli hutojisikia vzr linda heshima ya watu kama wao wanavyikuheshimu.. Ahsante
Nimecheka sana.si bora nikanywe Bear tu hiyo helaYani nikupe 600,000/= unipe elfu kumi kwa siku nne halafu mtandao uanze kugoma Mara hatusikilizani Mara network inasumbua nyoooo
Si wote wana mawazo ya kuiba au kutapel tu, acha hizo mambo mkuuUnaitwa tapeli kulingana na unachopost jukwaa la maelfu Kama hili hutakosa wafuasi watatupa mrejesho wa kiontario
Magroup ya kubeti au ya kutafuna pisi Kali?Namba yangu ni 0713810498 niungeni kwenye magroup.
Ulale na laki sita yangu wewe unipe elfu kumi,
Mtafute mc pilipili yuko dodoma
Mkope NdugaiNatafuta mtu ambae yupo Dodoma, nina biashara atoe laki 6 halafu kila siku atakuwa anapata faida ya 10000, kama upo tayari na una huo mtaji tafadhari tuwasiliane tufanye biashara.
0621604087
Ninachoweza kusema kuhusu ni kwamba umasikini ni kitu kibaya sawa, tujitahidi kukifukuza..Ela ipo ila nipe details za biashara na ni kwa muda gani, miwsho wa siku unarudisha principle loan?? bond unaweka nini sitaki kuandikishana
Ili mradi ni group MkuuMagroup ya kubeti au ya kutafuna pisi Kali?
Hiyo ni mipango yako mkuu!!, maana mimi siko hapa kutapeli bali kile nilichokikusudia kukifanya biashara na mtu mmoja kwasasa maana soko halijawa kubwa kuhitaji watu wengi uliyowapigia mahesabu wewe... Halafu si vzr kumhukumu mtu kwa hisia zako acha itakusaidia sana na kuepuka mikwaruzano na watu mkuu... Leo hii mimi nikiibuka tu nakusema wewe ni tapeli hutojisikia vzr linda heshima ya watu kama wao wanavyikuheshimu.. Ahsante
Ninachoweza kusema kuhusu ni kwamba umasikini ni kitu kibaya sawa, tujitahidi kukifukuza..
Nilimkopesha ndugu WA ukoo kaja ofisini Analia mama MTU mzima anasema ndugu yangu hata mwezi haufiki kuna shamba tunauza. 2019 huyo mama anaonekana Fala huwezi amini akikupa namba Leo baada ya wiki anasajili nyingine. Nikamtafuta Hadi mama yake na yeye nikampa vitisho kuna siku akatuma laki mwaka Jana hiyo kwenye laki 3 nikaokoa laki. Undugu umeisha na iliyobaki nimesamehe maana hata kama Nina Nia ya kumdai hapatikani kwenye simu.mara,namba unayoipigia haipo....
Nina mtoto WA dada ana mtindo huo 'ma mdogo tafuta milioni 2 tufanye ABC 'alishawahi kuniingiza mjini mara moja kuna siku nilimuuliza hivi hizi Taasisi zote zinazokopesha huzioni mpaka uje kwangu? Hajawahi kurudia.Kwa kifupi hii ni fursa nzuri sana kuna siku ilikuwa kidogo nitapeliwe kilichonisaidia niliwaza tu kama kuna dili zuri kama hili mtu atamtafuta mtu wake wa karibu kuliko kutafuta tu mtu baki.
Pole sana"Nipo kwenye kelele subiri nitakupigia baadae" hiyo baadae haifiki mpaka unaamua kutuma text "mbona kimya?" Text haijibiwi
Unapiga tena "haloo nipe mda kidogo namalizia hesabu fulani hapa ndg"
Biashara kama hii nimeshaifanya nikiwa chuo, nilikuwa nikipokea boom silitumii maana nilikuwa na hela za ziada za kutumiwa na ndg jamaa na marafiki nikiwapiga vizinga
Sasa nikatokea kuwa na urafiki na jamaa mmoja wa kiduka cha M-Pesa baadae akadai nimpe laki tatu atakuwa akinipa kila mwezi elfu 50 na pesa yangu ikibaki kuwa pale pale
Nikaona isiwe tabu na kuzingatia nilikuwa na kama mia saba ipo tu sikuwa naziona fursa kipindi kile, si nikampa jamaa
Aisee sio tu hiyo elfu 50 kwa mwezi hata hiyo laki tatu sikuipata, hapa ndio nilijua mahakama haina msaada wowote nilipeleka ushahidi wa kutosha ila hakimu anakuja kutoa hukumu jamaa anilipe milion au aende jela miezi sita kwa utapeli
Jamaa alikuwa na madeni mengi sana biashara yake iliyumba si akaamua kutumikia kifungo, na kashatokaga tayari sasa hivi yupo mtaani na mahakama inajua jamaa kashatumikia adhabu yake ila sasa alipoitumikia hiyo adhabu mimi nilifaidika na nini wakati kanipotezea laki tatu yangu?
Nasema tena hata unipe kila siku milioni kwa kiyo hiyo laki sita sikupiiiiiiiiiii
Narudia tena sikupiiiiiiiiiiii