Recent content by chimbondi

  1. C

    Rushwa Dawasa/Ubungo

    Uongozi wa Dawasa Ubungo mnachowafanyia wananchi wa Mbezi Tabata /Msumi ingekuwa enzi za mzee John pombe ni uhujumu uchumi Kwa nini mnataka muwaunganishie wananchi maji kwa 150,000? Kwani ninyi hamlipwi mshahara? Au ndiyo mnavyotumwa na wapizani kuwaudhi wananchi mnafikiri mtafanikiwa...
  2. C

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Nchi hii maudhi yako mengi sana yaani Wewe angalia utendaji wa polisi kwa sasa baada ya mama kukataza kubambikia watu kesi sasa hivi polisi wote wamehamia kuonea na kulazimisha makosa ya Barabarani Kwenye Barabara yaani kukagua magari utawaona kila baada ya km1 ukiwaambia kwenda kulinda raia...
  3. C

    Nairobi: The City in the sun

    Traffic Tanzania ni wasumbufu sana wanajenga hoja dhaifu kwa Madereva mwisho wa siku wanataka pesa ni aibu sana hii
  4. C

    TRC: Treni ikiwa na abiria 89 na wafanyakazi 16 imepata ajali ikitokea Mwanza kuelekea Dar es Salaam

    Trafic police Tanzania kwa sasa wamegeuza deal kuvizia magari mbalimbali barabarani Waziri husika angalia kwa jicho la huruma kwani Madereva wanapata usumbufu sana kutoka kwa hawa askari Wawe wanatoa Elimu kwa Madereva wakati Mwingine
  5. C

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Kumekucha Ni kweli raisi magufuli aliruhusu mchanga wa pale daraja la dumila uchukuliwe na yeyote yule bure Sasa hawa walioleta magari makubwa kubeba mchanga kupeleka kiwanda cha mkulanzi wanaharibu barabara kwa kubeba over tonage hawapiti mzani wanapita njia ya tuliani wanatokea mnadani pale...
  6. C

    Nasema Tena why KALPATARU CO are not paying Tanzanian for Makambako Songea project?

    Y Yaani hawa wahindi ni kama yule mzungu aliyempiga stop mwl nyerere kukanyaga East Africa Eti wanavigogo wapo nyuma yao hakuna wa kuwafanya kitu ngoja Kiboko yao spate taarifa hii watatafuta pa kujificha
  7. C

    Nasema Tena why KALPATARU CO are not paying Tanzanian for Makambako Songea project?

    Kifupi kampuni hizi za nje zinatakiwa kufuatiliwa kwa ukaribu vinginevyo watanzania wataendelea kuonewa kama enzi za ujima Viongozi au wasimamamizi wengi wa mradi siyo wazalendo ndiyo maana haya yote yanatokea kampuni kama haijafanya vizuri kwenye mradi A na kwa watanzania kwa nini unawapatia...
  8. C

    Nasema Tena why KALPATARU CO are not paying Tanzanian for Makambako Songea project?

    Ndiyo hivyo waziri husika awakabe koo tuliofanya kazi tupo atuite tutampatia uovu mwingine ambao haujui was kampuni hii
  9. C

    Tetesi: Kutokulipwa wakandarasi songea mradi wa umene

    Nenda wewe India ukawadhurumu wahindi kama utatoka salama
  10. C

    Nasema Tena why KALPATARU CO are not paying Tanzanian for Makambako Songea project?

    We are continue complaining to kalpataru company from India which was working for power line from makambako to songea , What they did is to sign with small company in Tanzania for piece work with contract and regulations from India , and they did refuse to pay many peoples who was join and work...
  11. C

    Tetesi: Kutokulipwa wakandarasi songea mradi wa umene

    Hivi watanzania nani katuroga? Issue za msingi kama hizi watanzania Wanakaa kimya ikitupiwa issue ya Lissu au Lipumba hapa wachangiaji million Kazi kweli kweli hawa wahindi ni hawafai Mwenye muda awafuatilie atakuja sema hapa Ni zaidi ya mabeberu
  12. C

    Tetesi: Kutokulipwa wakandarasi songea mradi wa umene

    Point ni kwamba hawa main contractor ni wahindi kampuni ya KALPATARu ni matapeli wanashirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali ,maana wazawa wamefanya kazi Kwenye malipo wamekuwa wasumbufu then serikali inawapa kazi nyingine wakawadhurumu wazawa tena huko singida nafahamu waziri husika...
  13. C

    Tetesi: Kutokulipwa wakandarasi songea mradi wa umene

    Wizara ya nishati na Tanesco Je mnajua kuwa waliojihusisha na ujenzi kutoka makambako mpaka songea hawajalipwa na hiyo kampuni ya KALPATARU YA INDIA? Na wanaowadhurumu ni watanzania wazawa wametumia pesa zao tena za mikopo the Leo hawalipwi tangia mwaka Jana mwezi wa 4 mpka Leo...
Back
Top Bottom