Recent content by Chillah

  1. Chillah

    PreGE2025 Jerry Muro: Gwajima ningependa kukwambia huu sio wakati wa kutengeneza "drama" za kutuondoa kwenye Uchaguzi Mkuu

    Brazil vs Taifa Stars Hizi timu mbili zikicheza mshindi hajulikani?
  2. Chillah

    Mbunge atekwa nje ya Kanisa tuombe Mungu haya mambo yaishie huko huko yasifike Tanzania!

    Mapadre wamekufa Wanasiasa walipatwa na kadhia na mwingine alikufa kwenye gari Nchi yao imeharibika, tutegemee Karua na wengine wakipambana na hali hiyo Tutegemee TLS wakienda huko kutaka haki itendeke THRC wafike mara moja kukemea hali hiyo Balozi zote na EU tunazitaka Zitoe tamko huko KE...
  3. Chillah

    Tanganyika inadhalilika: Viko wapi vile vikundi lukuki vilivyoapa kumtetea mama?

    Kumpuuza mtu ni jibu zuri zaidi, sio kila kitu kijibiwe
  4. Chillah

    Serikali Tanzania imevuka mipaka, kuwapiga Wakenya bila sababu ni ujinga usio na msamaha

    Hizo sheria hachana nazo, hili tamko anaweza tolea ufafanuzi Kiranga Bufa nk
  5. Chillah

    Tanzania imeingilia mambo ya nchi zote majirani

    Umepotoka, endelea kuishi na hiyo historia. Weka hapa vyaanzo vya historia unayotaka tuisome
  6. Chillah

    PreGE2025 Boniface Mwangi amepigwa na kuteswa na mamlaka za Tanzania na kutelekezwa Ukunda, familia yake yathibitisha

    Tukishikamana tutafika nchi ya ahadi. Tukiendelea kutafuta matabaka na kugawana kuni basi kutakuwa na tatizo kubwa huko mbele
  7. Chillah

    Tanzania imeingilia mambo ya nchi zote majirani

    Elezea kidogo hayo masuala ya mapinduzi huko, ukifanikiwa elezea pia mapinduzi yaliyoshindwa baada ya msaada wa UK kwa Tanganyika Utakuwa umeweza kusaidia uelewa wa siasa na maswala ya kimapinduzi ya kijeshi
  8. Chillah

    Tanzania imeingilia mambo ya nchi zote majirani

    Walikuja hapa wakapewa hifadhi, Wakarejea kwao kutimiza malengo yao. Hatukwenda nao huko kwao bali walienda wenyewe
  9. Chillah

    PreGE2025 Boniface Mwangi amepigwa na kuteswa na mamlaka za Tanzania na kutelekezwa Ukunda, familia yake yathibitisha

    Iddi Amin alivamia TZ na kuweka mpaka wake mpya kwa kuchukua eneo la Tanzania Hivyo alikuwa mvamizi, alitangaza vita kwa kuvamia kijeshi. Kama nimekosea nisaidie kupata uelewa.
  10. Chillah

    PreGE2025 PICHA: Halima Mdee ashindwa kuchagua upande, aonyesha alama ya CHADEMA na CHAUMMA kwa pamoja Bungeni

    Ni swala la muda tu. Muda utaamua kinywa kitasema. Wacha mitandao ipige kelele. Nafasi za kugombea zipo ila wapiga kelele wamechagua upande wa kupiga kelele na sio kugombea.
Back
Top Bottom