Shughuli za maendeleo ziwe kipaumbele kwenye michango yenu.
Inuaneni kiuchumi, jengeni miundombinu ya kutolea huduma kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo.
Msiache kushirikiana na kushirukisha walio ndani ya jamii zenu na nje pia.
Wamiliki wa vyombo vya usafiri wakigoma tu mnakaa pembeni bila kutekeleza sheria.
Wamiliki wanaonekana wananguvu kuliko mamlaka. Rudisheni Imani kwa watumiaji, mkisimamia sheria ipasavyo na huduma zitakuwa bora
Mmeshindwa kusimamia nauli za mabasi ya mikoani na vijijini. Nauli wanatoza tofauti na aina ya basi, mafano basi ordinary wanatoza nauli Sawa na semi luxury.
Mabasi yanayoenda vijijini ndio tatizo zaidi wewe abiria una nauli yako na kifurushi chako kina nauli yake.
Namba zipo watu...
Ukisoma vizuri utaona mipango ya serikali baada ya kumaliza ujenzi wa uwanja wa Musoma
Hivyo unae muita jiniazi chambulo (mkabulu) awe anasoma mipango ya serikali kabla hajaenda kuzungumza kitu kilichopo katika mipango na utekelezaji.
Y
Musoma kuna uwanja utumike, safari za ndege ziende huko kama mashirika ya ndege yataona kunafaida kupeleka wageni au abiria eneo hilo.
Vilevile kama watalii wanaenda kigoma kwa basi, ndege, train kwanini wasiende Musoma na uwanja umerekebishwa?
Waheni wanaenda iringa kuna uwanja ambao sio...
Sasakwa airstip
Fort ikoma airstip base ya mkoloni na kuna kijiji chenye huduma mbalimbali kama kanisa nk
Hizi zipo nje ya kidogo ya hifadhi karibu na mugumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.