Huo ukweli unaupata wapi? Kwake au kwa nani? Kama ni kwake mtafute, nenda kwake na ukimkosa njoo useme kuwa nilienda kwake nilikutana na kijana wake au mlinzi nk. Ukajibiwa hivi na vile
Ulifika ukashindwa kuingia?
Unaweza kuwaleta watu waliofika kwake tuwaulize?
Barua ya kujiudhuru haina nguvu, ukivuliwa uanachama unakosa nguvu ya kuendelea kubaki ofisini kwa kuwa unakosa udhamini wa chama. Ikumbukwe hatuna mgombea binafsi ktk sheria zetu.
Ukivuliwa unaweza kwenda kama...
Ndani ya uwanja ni wapi?
Matukio kama ya huko Sudan ya Political instability, ligi yao usimama na timu zinaenda kucheza sehemu nyingine kwa sababu ya usalama.
Je, suala kama hili la huko Sudan, tunatafsiri kuwa limetokea uwanjani?
Bora kuwa kondoo ulaya kuliko kuwa mwana wa Adam huko Africa, alisikika mtu mmoja akiwa amelewa kileo kinachoitwa uhuru hivyo anataka kileo cha ulaya achungwe kama k9ndoo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.