Recent content by Chillah

  1. Chillah

    JamiiForums Tanzania Askofu Masondole: Vijana wengi Tanzania ni Wezi Makazini

    Wizi haukuanzia 2025 na haukuisha 2025.
  2. Chillah

    JamiiForums Tanzania Askofu Masondole: Vijana wengi Tanzania ni Wezi Makazini

    Dar, mwanza nk
  3. Chillah

    JamiiForums Tanzania Askofu Masondole: Vijana wengi Tanzania ni Wezi Makazini

    Niliona picha na video wakiwa wamebeba mitungi ya gas, wakiwa kwenye maduka ya simu na fedha kama wapo gulioni
  4. Chillah

    JamiiForums Tanzania Askofu Masondole: Vijana wengi Tanzania ni Wezi Makazini

    Wapo mapadre vijana, kazi zao ni kuinjilisha. Makanisani ndio sehemu zao za kazi. Je, na wenyewe wanaiba?
  5. Chillah

    JamiiForums Tanzania Askofu Masondole: Vijana wengi Tanzania ni Wezi Makazini

    Vijana wanataka kusikia maneno matamu matamu. Hata hivyo Wizi wa vijana hao ulijidhihirisha oktoba, 2024.
  6. Chillah

    JamiiForums Tanzania Walimu 56 wakihama chama cha CWT Kilindi Tanga

    Kuna chama kingine cha walimu, watakuwa wamehamia huko
  7. Chillah

    JamiiForums Tanzania Hii michango ya harusi laki moja mnayoweka kwenye kadi tena bila option ya kuchagua ya size yako tutaonana wabaya aisee

    Shughuli za maendeleo ziwe kipaumbele kwenye michango yenu. Inuaneni kiuchumi, jengeni miundombinu ya kutolea huduma kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo. Msiache kushirikiana na kushirukisha walio ndani ya jamii zenu na nje pia.
  8. Chillah

    JamiiForums Tanzania LATRA: Tumeanza kufunga ving'amuzi vya VTS kufuatilia Daladala zinazokatisha ruti na kuzidisha nauli

    Wamiliki wa vyombo vya usafiri wakigoma tu mnakaa pembeni bila kutekeleza sheria. Wamiliki wanaonekana wananguvu kuliko mamlaka. Rudisheni Imani kwa watumiaji, mkisimamia sheria ipasavyo na huduma zitakuwa bora
  9. Chillah

    JamiiForums Tanzania LATRA: Tumeanza kufunga ving'amuzi vya VTS kufuatilia Daladala zinazokatisha ruti na kuzidisha nauli

    Mmeshindwa kusimamia nauli za mabasi ya mikoani na vijijini. Nauli wanatoza tofauti na aina ya basi, mafano basi ordinary wanatoza nauli Sawa na semi luxury. Mabasi yanayoenda vijijini ndio tatizo zaidi wewe abiria una nauli yako na kifurushi chako kina nauli yake. Namba zipo watu...
  10. Chillah

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Ukisoma vizuri utaona mipango ya serikali baada ya kumaliza ujenzi wa uwanja wa Musoma Hivyo unae muita jiniazi chambulo (mkabulu) awe anasoma mipango ya serikali kabla hajaenda kuzungumza kitu kilichopo katika mipango na utekelezaji. Y
  11. Chillah

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Musoma kuna uwanja utumike, safari za ndege ziende huko kama mashirika ya ndege yataona kunafaida kupeleka wageni au abiria eneo hilo. Vilevile kama watalii wanaenda kigoma kwa basi, ndege, train kwanini wasiende Musoma na uwanja umerekebishwa? Waheni wanaenda iringa kuna uwanja ambao sio...
  12. Chillah

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Sasakwa airstip Fort ikoma airstip base ya mkoloni na kuna kijiji chenye huduma mbalimbali kama kanisa nk Hizi zipo nje ya kidogo ya hifadhi karibu na mugumu
  13. Chillah

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Airstip zipo zitumike. Vilevile kutoka KIA kwenda Tarangire au Ngorongoro sio Dakika tano au kumi.
Back
Top Bottom