Mapadre wamekufa
Wanasiasa walipatwa na kadhia na mwingine alikufa kwenye gari
Nchi yao imeharibika, tutegemee Karua na wengine wakipambana na hali hiyo
Tutegemee TLS wakienda huko kutaka haki itendeke
THRC wafike mara moja kukemea hali hiyo
Balozi zote na EU tunazitaka Zitoe tamko huko KE...
Elezea kidogo hayo masuala ya mapinduzi huko, ukifanikiwa elezea pia mapinduzi yaliyoshindwa baada ya msaada wa UK kwa Tanganyika
Utakuwa umeweza kusaidia uelewa wa siasa na maswala ya kimapinduzi ya kijeshi
Iddi Amin alivamia TZ na kuweka mpaka wake mpya kwa kuchukua eneo la Tanzania
Hivyo alikuwa mvamizi, alitangaza vita kwa kuvamia kijeshi.
Kama nimekosea nisaidie kupata uelewa.
Ni swala la muda tu. Muda utaamua kinywa kitasema. Wacha mitandao ipige kelele.
Nafasi za kugombea zipo ila wapiga kelele wamechagua upande wa kupiga kelele na sio kugombea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.