Kuna nafasi bado ya uwekezaji ambao haupo moja kwa moja ktk maamuzi ktk asilimia kadhaa
Hii ina ruhusiwa na fifa
Pia kuna nafasi ya kubadili umiliki wa timu moja kwenda kwa mwingine ambaye ni familia yako kama Singida FS na Singida BS na Yanga
Au Yanga na matawi yake
Mmiliki wa Azam ni mtoto
Miliki wa simba muwekezaji ni baba (kama atakuwa) sizani kama kuna shida
Ni kama umiliki wa timu za taasisi
Timu za jkt
Timu za jwtz huko daraja la kwanza zimejaa
Timu za polisi zipo polisi dom, polisi moro, polisi dsm
Magereza pia wanazo mikoani kama magereza musoma...
Try again amesha jiuzuru nyazifa alizonazo simba na mwanamama amerudi
Nazani kikao kilicho fanyika ktk ofisi za mo kilieleza haya
Alipost pia ktk IG yake
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa lakini... una weza jirizisha pia kupitia IG ya muwekezaji
Uwezo upo ila manufaq au shabaha ni nini? Kesho ukiona vinu vya nyuklia vya iran vina waka moto basi jua hiki kilikuwa kina tafutwa na kwa siku nyingi na nchi zq magharibi na wame kibata kupitia mtoto wao aliyekaa kimkakati na kwa mabavu mashariki yq kati
Na hiki ni kiashiria kibaya kwa kuwa ana onekana yupo mwenyrw akifanya kaz ya urusi kama mshirika aliyemafichoni ktk hili
Hawa walio jitokeza kuungana na israel kuzuia mashambulizi wana weza jitokeza kuishambulia iran pia
Propaganda ni kuwa hawaiungi mkono israel ktk kuishambulia iran, lakini...
Hapo ndipo kazi ilipo
Mbuzi wa kafara ni wasimamizi wa mchezo tena labda assistant ref! Ambao wapo ktk VAR Na refa wa kati
Hizi hujuma mwwrabu kafanya sana pamoja na sheria kuwrpo lakini hakuna jipya
Ata angekuwa al alhy imemtokea hii nina imani kusingekuwa na jipya
Una ushahidi kuwa masandawana wamehusika?
Matokeo ya magoli kukataliwa yapo toka miaka na miaka na hakuna mabadiliko pamoja ma sheria kuwepo
Ushindi wa mezani mara nyingi ni pale mmoja hakutokea uwanjani
Ila pale arabs
Timu ya kutoka iran na saudia moja ya saudia ili kataa kuingia uwanjani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.