Recent content by Chillah

  1. Chillah

    Ajira serikalini zimetangazwa, vijana zingatieni haya

    Hakuna ajira labda za uenyeviti wa vitongoji mitaa na vijiji
  2. Chillah

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Kuna nafasi bado ya uwekezaji ambao haupo moja kwa moja ktk maamuzi ktk asilimia kadhaa Hii ina ruhusiwa na fifa Pia kuna nafasi ya kubadili umiliki wa timu moja kwenda kwa mwingine ambaye ni familia yako kama Singida FS na Singida BS na Yanga Au Yanga na matawi yake
  3. Chillah

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Nenda daraja la kwanza utazikuta zipo kibao kama nne za jwtz Nenda ligi kuu kuna geita kuna kcmc nk hii tamisemi Labda sisi tuna fifa ya peke yetu
  4. Chillah

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Mmiliki wa Azam ni mtoto Miliki wa simba muwekezaji ni baba (kama atakuwa) sizani kama kuna shida Ni kama umiliki wa timu za taasisi Timu za jkt Timu za jwtz huko daraja la kwanza zimejaa Timu za polisi zipo polisi dom, polisi moro, polisi dsm Magereza pia wanazo mikoani kama magereza musoma...
  5. Chillah

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Try again amesha jiuzuru nyazifa alizonazo simba na mwanamama amerudi Nazani kikao kilicho fanyika ktk ofisi za mo kilieleza haya Alipost pia ktk IG yake Kama kumbukumbu zangu zipo sawa lakini... una weza jirizisha pia kupitia IG ya muwekezaji
  6. Chillah

    TAMISEMI yatangaza ajira 3865 za Watendaji wa Kata, Vijiji na Mtaa

    😂😂😂😂😂😂😂😂
  7. Chillah

    Ezekiel Wenje tunakuhitaji jimbo la Rorya jimbo liko wazi 2025

    Ngoja tuwashangaze kwenye masanduku
  8. Chillah

    Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

    Uwezo upo ila manufaq au shabaha ni nini? Kesho ukiona vinu vya nyuklia vya iran vina waka moto basi jua hiki kilikuwa kina tafutwa na kwa siku nyingi na nchi zq magharibi na wame kibata kupitia mtoto wao aliyekaa kimkakati na kwa mabavu mashariki yq kati
  9. Chillah

    Iran ndani hakukaliki, hofu kote, serikali inatumia nguvu nyingi kuaminisha hali shwari

    Na hiki ni kiashiria kibaya kwa kuwa ana onekana yupo mwenyrw akifanya kaz ya urusi kama mshirika aliyemafichoni ktk hili Hawa walio jitokeza kuungana na israel kuzuia mashambulizi wana weza jitokeza kuishambulia iran pia Propaganda ni kuwa hawaiungi mkono israel ktk kuishambulia iran, lakini...
  10. Chillah

    Ni mji gani ambao pengine ndoto yake ni kufika.?

    Gambushi nasikia kuna hay majiji yte
  11. Chillah

    Mbona majanga kila Mahali? Arusha nayo yakumbwa na mafuriko, magari yasombwa

    Tatizo ni bwawa la umeme rufiji, mlevi mwingine alisikika akisema ni magu, mjinga mmoja alisikika akisema ni samia ndio chanzo
  12. Chillah

    Yanga yaiandkia CAF kupinga matokeo ya Nusu fainali ya CAFCL kutokana na kukataliwa kwa Goli lao kwa Administrative error & match fixing allegations

    Hapo ndipo kazi ilipo Mbuzi wa kafara ni wasimamizi wa mchezo tena labda assistant ref! Ambao wapo ktk VAR Na refa wa kati Hizi hujuma mwwrabu kafanya sana pamoja na sheria kuwrpo lakini hakuna jipya Ata angekuwa al alhy imemtokea hii nina imani kusingekuwa na jipya
  13. Chillah

    Yanga yaiandkia CAF kupinga matokeo ya Nusu fainali ya CAFCL kutokana na kukataliwa kwa Goli lao kwa Administrative error & match fixing allegations

    Una ushahidi kuwa masandawana wamehusika? Matokeo ya magoli kukataliwa yapo toka miaka na miaka na hakuna mabadiliko pamoja ma sheria kuwepo Ushindi wa mezani mara nyingi ni pale mmoja hakutokea uwanjani Ila pale arabs Timu ya kutoka iran na saudia moja ya saudia ili kataa kuingia uwanjani...
Back
Top Bottom