Recent content by Chillah

  1. Chillah

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Sukari Rufiji kutengeneza Ajira zaidi ya 5,000

    Tanzania ni kubwa sana, nenda kajitafutie eneo ufanye shughuli zako.
  2. Chillah

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Sukari Rufiji kutengeneza Ajira zaidi ya 5,000

    Ingia Tausi kuna viwanja vinauzwa, hapo katika hilo eneo sio mbali na Veta, Kiwanda cha Sukari Na viwanja vinanunuliwa kwa wingi.
  3. Chillah

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Sipo kupinga maoni yako.
  4. Chillah

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Huo ukweli unaupata wapi? Kwake au kwa nani? Kama ni kwake mtafute, nenda kwake na ukimkosa njoo useme kuwa nilienda kwake nilikutana na kijana wake au mlinzi nk. Ukajibiwa hivi na vile
  5. Chillah

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Swali umeenda kwake ukamkosa? Umewauliza ndugu zake?
  6. Chillah

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Ulifika ukashindwa kuingia? Unaweza kuwaleta watu waliofika kwake tuwaulize? Barua ya kujiudhuru haina nguvu, ukivuliwa uanachama unakosa nguvu ya kuendelea kubaki ofisini kwa kuwa unakosa udhamini wa chama. Ikumbukwe hatuna mgombea binafsi ktk sheria zetu. Ukivuliwa unaweza kwenda kama...
  7. Chillah

    JamiiForums Tanzania TEC andaa misa alafu mgeni rasmi hawe makamu wa Rais mastaafu Emanuel Nchimbi .

    Upuuzi hawawezi fqnyq, walishatoa walaka
  8. Chillah

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Hiyo itunze kwanza... tuangalie hili la usalama hafifu katika viwanja vya michezo na makomandoo wa GSM ambao wameshindwa mkamata muhusika
  9. Chillah

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Ndani ya uwanja ni wapi? Matukio kama ya huko Sudan ya Political instability, ligi yao usimama na timu zinaenda kucheza sehemu nyingine kwa sababu ya usalama. Je, suala kama hili la huko Sudan, tunatafsiri kuwa limetokea uwanjani?
  10. Chillah

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: DCI Ramadhani Kingai anakuja kunitetea. Sasa itabidi aje anyooshe maelezo. I've fought this war for 30yrs, I know how it goes!

    Inalazimisha kutenda hayo au kutekeleza hayo? Je, wewe kama raia mwema ulifanya hayo yaliyopo kwenye CPA?
  11. Chillah

    JamiiForums Tanzania Nchi gani ina unafuu wa maisha katika umoja wa nchi za ulaya? Tanzania sio nchi tena bali ni kituko

    Bora kuwa kondoo ulaya kuliko kuwa mwana wa Adam huko Africa, alisikika mtu mmoja akiwa amelewa kileo kinachoitwa uhuru hivyo anataka kileo cha ulaya achungwe kama k9ndoo.
  12. Chillah

    JamiiForums Tanzania Azam TV yaongeza channel mpya Azam Sports 5 HD

    Sema maandalizi ya kushindania tender ya CAF.
Back
Top Bottom