Wewe mbona unaongea vitu bila utafiti? , unamjua mlingwa? ni mtoto wa waziri marehemu Celina Kombani, awe darasa la saba????????:(:(:(:(:(:( usipokuwa makini kabla hujaandika kuna siku unaweza kujiletea matatizo.
Actually kama huijui mbeya huwezi kuelewa ukweli mmoja. Wanyakyusa ni wengi sana wanaishi chunya na hivyo kuwafunika kabisa Wabungu wenyeji wa huko. kwa taarifa yenu hata Mbunge wa chunya ni mnyakyusa anaitwa VICTOR MWAMBALASWA
Tatizo lenu ndugu zangu wengi ni lile la kujiondoa ufahamu. Hata muuaji anastahili Wakili, mbona hamuelewi? sasa CCM ndio walisaini hiyo mikaytaba na wa makinikia leo mikataba inalindwa kisheria, you should use diplomacy instead of kujifanya mna dola, kesi inafunguliwa uingereza mnabaki ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.