Recent content by chikwaya

  1. C

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    crome20, umetaja point yingi zenye weight kubwa lakini umesahau kwamba serikali kazi yao kubwa ni kuboresha maisha ya wananchi kwa kutunga na kurekebisha sheria kutokana na wakati, jamii ya waislam ni miongoni ya wananchi wa tanzania, sheria za nchi ziboreshe maisha ya kundihili pia, kwa maoni...
  2. C

    Bakwata yaishtukia serikali

    Hongereni bakwa kwa kuamka kutoka usingini, tena usingizi mzito.
Back
Top Bottom