Nani kakudanganya NGOs hazifanyi biashara? NGOs zina mapato kutoka kwa Donors sio lazima yatoke kwenye biashara.
Siku hizi NGOs ni profit making organization but not sharing.
Hakuna mbunge/diwani anayejiuzulu uwakilishi bali hujitoa kwenye vyama vyao tu,uwakilishi unachukuliwa na katiba kwa sab haitambui muwakilishi binafsi,hivyo hana budi kutetea nafasi yake.
Alimaanisha jengo lote la mbele japo hakumalizia kusema la mbele. Yale ni majengo mawili yanayojitegemea mpk msingi wake ndio maana hakuona tabu kusema jengo lote akimaanisha la mbele.
Wavunje la nyuma la nini wakati sio road reserved area?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.