Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,168
- 6,291
Yesu na Maria!!!JPM ajitoe tu kwenye huo umoja wa UN
Yesu na Maria!!!JPM ajitoe tu kwenye huo umoja wa UN
Ndio.Kiswahili hakiruhusiwi?
Pia kila kiongozi anastaili yake ya kiutawala, cha msingi taifa lisonge mbelemkuu unajua insu kubwa sio kikao husika bali kuna vikao vingine vingi vidogo dogo kati ya maraisi kwa maraisi vinaendelea! kuhusu mahusiano hasa ya kibiashara.ni katika huo mkutano rais anakuwa na uwezo wa kukutana na maraisi wenzake wengi kwa kutumia muda mchache na rasilimali kidogo
New World Order... UN is a tool of control .......hamna kitu kisicho na maana duniani kila kitu kina maanaana inategemeana tu ni kwa namna gani kinatumika
Acha ujinga. Kesho kipara ngongo ataenda kuzindua daraja ya TAZARA.Kipara hawezi tia mguu n kimombo chake cha zeeeee
Sema wewe akili huna, usinijumuishe mimi mkuuSisi tumewakilishwa na huyo jirani yetu mwembamba mrefu kwamba mambo yetu ya Afrika( kama vile kuuawana, kutekana, maiti kwenye viroba, kubambikiana kesi) tuyamalize wenyewe. Amesahau kuwa kulikuwa na vikosi vya Umoja wa Taifa nchini kwake wakati hali tete chini ya Juvenal. Kama hatutaki watukosoe basi tusiwaombe misaada kabisa! Wakitupa Bil 200 tunatangaza nchi nzima vyombo vyote, wakitukosoa tunalalamika. Waafrika akili hatuna!
Kwani lazima aongee kimombo? Marais wote pale wanaongea kimombo?Kipara hawezi tia mguu n kimombo chake cha zeeeee
Kwani kiswahili hakitumiki UN?Haaa mtamtetea sana baba yenu tatizo lugha hata mentor wake Pk amekwenda
Ulitakiwa uelewe lugha uliyotumika.Sema wewe akili huna, usinijumuishe mimi mkuu
Shule imekupita mbali mkuu.Hivi faida ya kuwa mwanachama wa Un ni zipi?
umesahau alivyohutubia kwa kiswahili addis ababa, hakumpa nafasi mkalimani ya kutafsiri kwa kuwa alijua hana cha kuwaambia waafrika zaidi ya "tumejenga fly over, standard gauge, tumenunua ndege kwa cash"Kiswahili hakiruhusiwi?