Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,667
- 15,241
Kuna wakati nawaza/nafikiri weeeHali mbaya sana mtu unaweza kazi ukiwa hujui kesho yake inakuwaje wajinga wachache wanatuletea siasa
Je huyu mtu hana utu?
Hana washauri?
Ni mtanzania mwenzetu kweli
Sidhani jamani sidhani sidhani kabisaaa
Anayoyafanya hayaelekei kabisaaa