Recent content by CHIKIRA IBRAH

  1. C

    TAHLISO yatoa wiki moja kwa serikali kutoa mikopo

    huo ndio umoja unaotakiwa hakuna kuandamani udsm tu vyuo vyote tanzania mpaka kieleweke asante TAHLISO tupo pamoja
  2. C

    HESLB mwogopeni Mungu. Ku-apply 87,100, mkopo 77,100

    hii namba ukitoa pesa yako 30000 uliolipia board ya mikopo unapata shs ngapi wataalam wa hesabu
  3. C

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    mbona kuna mtu anasoma bachelor of arts in music UDSM na kapata mkopo nacho ni kipaombele cha Nchi acheni porojo mkopo bodi nahisi wanafanya probability sample kuwapa watu mikopo
  4. C

    NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

    sikulaumu utakuwa ushawahi kuugua kichaa
  5. C

    NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

    watu wengine vichaa yaani unaponda NIT upo mtaani hata certificate ya ufagizi huna NIT ni chuo bora na msiwe na haraka ya kuona majina kwenye website ya chuo mshajiona tcu kama mmechaguliwa nit mnaharaka gani na kwa taarifa yenu kila chuo kina ratiba yake msiwe mafala mnaponda bila reason eti...
  6. C

    Vyuo vikuu bora hapa Tanzania

    ndio kwa mfano kozi ya logistics and transport management na baadhi ya kozi nyingine
  7. C

    NIT ni chuo ama ni kijiwe cha tuition?

    hembu msichafue jina ya hiki chuo bana NIT ni chuo cha kipekee East Africa kinatoa course ambazo huwezi kuzipata kwenye chuo chochote East Africa msiwe na haraka wadogo zangu ya kuja chuo mtasoma sana mpaka mchukie kusoma karibuni sana NIT
  8. C

    Vyuo vikuu bora hapa Tanzania

    NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT) ndio bora zaidi sio kwa tanzania tuu hata East Africa
  9. C

    Msaada kuhusu kozi ya Logistics

    usijali dogo logistics anasoma hata mtu aliyosoma HKL sema hesabu ipo ya kutosha na uchumi karibu sana NIT
Back
Top Bottom