Recent content by chikha

  1. chikha

    Kufungua kampuni ya usafi

    nashkur kamanda
  2. chikha

    Naomba ushauri na muongozo wa ujenzi

    hahahahahha.....
  3. chikha

    Kufungua kampuni ya usafi

    Habari wana jamii wenzangu habari za wakati huu... Ninaomba msaada nimetoka kumaliza chuo kikuu mwaka jana lakini maisha ya ajira naona bila bila Msaada wenu nataka kufungua kampuni ya usafi kwa mwenye ufahamu wa jambo hili tafadhari naomba muongozo na utaratibu mzima Nipo DAR ES SALAAM na...
  4. chikha

    Naomba ushauri na muongozo wa ujenzi

    sawa baada ya kupata fundi mzur mchanganuo wake upoje hapo mkuu mwezi wa pilindo.nataka kuanza
  5. chikha

    Naomba ushauri na muongozo wa ujenzi

    asante kiwanja kipo tambalale mkuu
  6. chikha

    Naomba ushauri na muongozo wa ujenzi

    Wakuu habari zenu Nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa Dar maeneo ya Tegeta Madare plan yangu ni kujenga nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. Lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 ninataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha...
  7. chikha

    Fahamu namna ya ukadiriaji tofali katika ujenzi

    njuka embu tutupie namba zako bas tukupaye kirahisi mr njuka
  8. chikha

    Anayekijua kijiji cha Mkata au hata jirani na hapo nahitaji kumpata Mwenyekiti wa kijiji hichoo

    Habarini wandugu, msaada Kwa mwenye kujua vizur kijiji cha MKATA au hata jilani na hapo tufaamiane naitaji kumpata mwenye kiti wa kijiji hiko au kiongozi yeyote hata Kama ni wa dini ndani ya kijiji hicho naomba tutafutane 0735043350
  9. chikha

    Wale tulioomba nafasi za Data Officer za MDH na nyinginezo

    Hata mimi niliombaga mdh data mbaka leo kimya. Ila kwa ninavyo sikia sina uhakika kuwa mdh huwa wanachaguana ndani wenyewe kwa wenyewe then wanatangaza post
  10. chikha

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dodoma

    Tuambie ngapi
  11. chikha

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Jamani natafuta betry himara la kukaa na charge ya samsung note 4
Back
Top Bottom