Na wanasiasa waache kuita watu wa dini kuomba kwenye mikutano yao, kwanza sala na Dua zenyewe zinakuwa za mashaka sidhani hata Mola anazikubali, walinde tu polisi inatosha!
Sasa kama wanasali wengi askali uoni ni sehemu bora wapinzani wakapata nafasi ya kusema nao ili watimizapo majukumu yao waache upendeleo, uonevu,rushwa na wawe na huruma!
Kuruhusiwa kwa CDM kusaini kanuni ili iweze shiriki uchaguzi, haya yalikuwa mapendekezo ya Warioba na Butiku, lakini yalipuuzwa muda ule, wanapaswa waende mbele zaidi kufuta kesi za kisiasa, suala la CDM na wepenzi wake kushiriki au la ni juu yao, Kwao reform ikifanywa kazi naamini watashiriki...
Huyu ndio anapotosha, hadi mtu anasema tuko vizuri ukuaji kiuchumi kuliko tonakoenda kukopa na kuomba misaada, data tu, uhalisia hamna, tembelea maeneo tajwa, utekelezaji 20% na mradi huko nyuma ya muda, achana na data za kupika, umekalia dawati unalopoka!
Pamoja na ukabila ni mwiko nchini, ila mzawa ni muhimu kwa nafasi ya udiwani, ubunge, sio U-DC &U-RC , wenzetu wako mbele zaidi uwezi pata udiwani, ubunge wa bara huko Zenj. Sasa huyu Makonda kwao wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.