Recent content by chikambabatu

  1. C

    Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

    Naamini shule hiyo ina kilakitu, tatizo utayari wa wanafunzi na wazazi wao, uenda hata tamaduni zinachangia kushusha hari ya kujifunza!
  2. C

    Bado siku mbili tu mambo haya yaanze kuwatesa Watanzania

    Si lazima ichaguliwe inatangazwa tu!
  3. C

    Walio karibu na Makonda wamwambie ni kosa kubwa kuwa maarufu kuliko Rais. Aache kabisa harakati

    Hakuna umaarufu wowote, anapiga bla bla na kuingilia majukumu yasiyo mhuusu, wacha aendelee!
  4. C

    Makonda hatoboi. Kauli zake zinawaudhi "wenye nchi"

    Ila makonda ni tatizo, mwenezi hayo sio majukumu yake, angeomba nafasi serikali ili atoe maagizo atakayo, mwenezi usemea chama mliyokubaliana kwenye vikao, sio kujifanya kama Magu kupigia mawaziri simu na kutoa maagizo, hata kama yapo kwenye ilani ya CCM, inataratibu za kutekeleza, mwenyewe hana...
  5. C

    Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

    Angeteuliwa balozi USA, ila hapo hafai, nafasi hiyo si ya kutoa matamko toka nyumbani kwako, ni kukisemea chama kwa yale mliyokubaliana kwenye vikao!
  6. C

    CCM ivunje tu utaratibu. 2025 asimame Kassimu Majaliwa kugombea Urais

    Una mjuwa Majaliwa? Ukimjuwa uwezi pendekeza hayo!
  7. C

    Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

    Wengi wenye ufahamu mkataba wa bandari hatuutaki, licha ya bandari kuwa ni mzigo na inafanya vibaya, dawa yake si kuitupa.
  8. C

    Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

    Kwa akili yako ameshushwa au amepandishwa! Naamini nafasi aliyopewa ni kubwa zaidi, na anafaa, kwenye nishati alifiti pia, acha wivu!
  9. C

    Hapa ndipo inapotoka nguvu ya Kanisa Katoliki

    Mc Mchonganishi na mnafiki P. Unajisikiaje DP world wanapewa bandari zetu bure milele na miundo mbinu yake kama sgr bandari kavu, nawe unafurahia!
  10. C

    Ndugu zangu waislam tunahitaji kubadilika na tubadilike kwelikweli ili tuweze kushinda tunayokutana nayo

    We nawe tr26 zimeandikwa wapi? Hayo ni maneno tu kama ya gas Mtwara kuwa Nchi imepata neema na Mtwara kutakuwa kama ulaya. Haya mambo hayapo ya tilioni 26, kwa wenye ufahamu wanapenda kuona mkataba wa muda kama kuna maslahi waendelee na kama akuna basi waondoke kama ticks, sio kuingia mazima milele!
  11. C

    Naomba tuweke rekodi sawa kuhusu kutumbuliwa DED na DC Mtwara

    Ila wamepewa bure milele, we mzima? Lini shughuli za bandari zitaisha ndio waondoke? kwanini sheria za ushindani na manunuzi zibatilishwe kwa wao tu kupewa watakacho, nawaelewa sasa walaka wa TEC!
  12. C

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Naimani ma Mh.Rais Samia, uenda akamaliza sakata hili kwa hekima zaidi. TEC wapo sahihi, ila kasoro yao awakutoa matamko kwa JPM juu ya mapungufu yake. Kukandamiza demokrasia, kupendelea kwao, kuonea au kupora fedha kwenye account za watu nk!
  13. C

    Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

    Usiwe mjinga kwani maeneo au ardhi imeisha? Unaakili za ki-jpm kisasi kisa kushauri au kukupinga!
Back
Top Bottom