Ila makonda ni tatizo, mwenezi hayo sio majukumu yake, angeomba nafasi serikali ili atoe maagizo atakayo, mwenezi usemea chama mliyokubaliana kwenye vikao, sio kujifanya kama Magu kupigia mawaziri simu na kutoa maagizo, hata kama yapo kwenye ilani ya CCM, inataratibu za kutekeleza, mwenyewe hana...
We nawe tr26 zimeandikwa wapi? Hayo ni maneno tu kama ya gas Mtwara kuwa Nchi imepata neema na Mtwara kutakuwa kama ulaya. Haya mambo hayapo ya tilioni 26, kwa wenye ufahamu wanapenda kuona mkataba wa muda kama kuna maslahi waendelee na kama akuna basi waondoke kama ticks, sio kuingia mazima milele!
Ila wamepewa bure milele, we mzima? Lini shughuli za bandari zitaisha ndio waondoke? kwanini sheria za ushindani na manunuzi zibatilishwe kwa wao tu kupewa watakacho, nawaelewa sasa walaka wa TEC!
Naimani ma Mh.Rais Samia, uenda akamaliza sakata hili kwa hekima zaidi. TEC wapo sahihi, ila kasoro yao awakutoa matamko kwa JPM juu ya mapungufu yake. Kukandamiza demokrasia, kupendelea kwao, kuonea au kupora fedha kwenye account za watu nk!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.