mleta mada hivi ukiangalia ulichiokiandika kinaendana na hiyo buku 7 unayolipwa kweli,ningekuwa mm ndio cashier wa lumumba ningekukata leo ningekupa japo buku tu ya nauli
tulishafanya maamuzi we endelea na porojo zako ,kwanza unaishi huko unajua shida zetu sisi huku, tutamchagua nadhani hutarudi tena tz wakati utakapokuwa uanaangalia u tube edo akiwa anaapishwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.