Si ajabu Hilo eneo Musukuma naye alikuwa analitaka. Sasa amewahiwa limemuuma sana. Yaani hadi upigane Kwa mambo ambayo yangeweza kumalizwa kisheria. Kuna kitu hapo siyo bure
.....walikusifu vibaya mno.... Kwa hiyo walitaka uwakanyage kanga wafu?? Iweje wakusifu vibaya, Kwa maana hiyo walikupa sifa mbaya kisa tu umeamua kuokoa maisha ya kanga na mama kanga! Duuh, hao wazungu bwana. Kwa nini wasingekusifu vizuri jamaniii. Looh! Nachoka mimi.
Sasa maskini wasipozaliana na kuongeza nguvukazi katika shughuli za uzalishaji hao unaowaita matajiri watamnyonya nani ili hatimaye waonekane ni matajiri??? Maana matajiri walio wengi huwanyonya maskini na Kuonekana kuwa ni matajiri. Na ili tajiri aonekane kuwa ni tajiri lazima awepo mtu...
Eti nisione mwislam anasherekea Krismas na Mwaka Mpya!!! Kwamba waislam wote ni wa nyumbani kwake au wote ni watoto wake kiasi kwamba anawaamuru anavyotaka!!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.