Recent content by Chifu Songea

  1. C

    Prof. Tibaijuka kamzidi Samia kwa kipaji. Jifunzeni

    Shikamo Mama Tibaijuka
  2. C

    Nauliza tu wajameni, yule Mbunge aliebinuka bungeni kwenye meza, alirudi bungeni awamu hii?

    Kwamba atakuwa ameenda VETA kuendeleza ujuzi wa kubinuka
  3. C

    Mbunge Kangi: Bunge, Mahakama, na vyombo vya Dola viwe huru

    Enzi zile anavaa mashati yenye mifuko ya bendera ya taifa hakuwa akiyaona haya??
  4. C

    Mungu tunaomba usiruhusu Madhara yoyote kwa Dr Nchimbi

    Hanaga rafiki Wala adui wa kudumu
  5. C

    Ubalozi wa Marekani: Kukamatwa kwa Mwanajeshi wa Marekani Tanzania kumekuzwa kupita kiasi na Serikali

    Unamuita balozi wa Marekani mpumbavu, wakati sever za jf zipo kwao!! Una balaa wewee
  6. C

    Mbunge Musukuma azichapa na ‘mwekezaji’

    Si ajabu Hilo eneo Musukuma naye alikuwa analitaka. Sasa amewahiwa limemuuma sana. Yaani hadi upigane Kwa mambo ambayo yangeweza kumalizwa kisheria. Kuna kitu hapo siyo bure
  7. C

    Hakuna Mwanamama mkatoliki ataandamana akiwa amevaa dela

    Hakuna hata mmoja aliyevaa rozari. Wala vile vitenge maarufu vya wakatoliki wanawake vyenye chapa ya WAWATA.
  8. C

    PostGE2025 Kocha Gamondi: Ushindi wa Tanzania ni heshima kwa waliopoteza maisha Oktoba 29

    .....walikusifu vibaya mno.... Kwa hiyo walitaka uwakanyage kanga wafu?? Iweje wakusifu vibaya, Kwa maana hiyo walikupa sifa mbaya kisa tu umeamua kuokoa maisha ya kanga na mama kanga! Duuh, hao wazungu bwana. Kwa nini wasingekusifu vizuri jamaniii. Looh! Nachoka mimi.
  9. C

    Mtu unapata wapi ujasiri wa kuzaa mtoto wakati unajua wewe ni fukara, maskini choka mbaya, hohe-hahe?

    Sasa maskini wasipozaliana na kuongeza nguvukazi katika shughuli za uzalishaji hao unaowaita matajiri watamnyonya nani ili hatimaye waonekane ni matajiri??? Maana matajiri walio wengi huwanyonya maskini na Kuonekana kuwa ni matajiri. Na ili tajiri aonekane kuwa ni tajiri lazima awepo mtu...
  10. C

    Sheikh aliyesema Waislam wasile chakula cha Wakristo pia awashauri wasitumie Kalenda ya Wakristo

    Vipi kuhusu cement zinazotumika kujengea misikiti. Hazitengenezwi na makampuni ya wakristo kweli??
  11. C

    Sheikh aliyesema Waislam wasile chakula cha Wakristo pia awashauri wasitumie Kalenda ya Wakristo

    Eti nisione mwislam anasherekea Krismas na Mwaka Mpya!!! Kwamba waislam wote ni wa nyumbani kwake au wote ni watoto wake kiasi kwamba anawaamuru anavyotaka!!??
  12. C

    CDF mstaafu, Mabeyo aibuka na kuongelea Rasilimali. Aomba radhi kwa maneno yake

    Unajuaje kuwa kama ubao ungegeuzwa hao wageuzaji wangeenenda Kwa haki? Huenda Hali ingekuwa worse zaidi ya sasa
Back
Top Bottom