Recent content by chifu mtoto

  1. chifu mtoto

    Maswali kumi kwa Edward Lowassa na Wafuasi wake

    Jamani hebu tubadilike sio kila wakati ni chukka. udom- bila Lowasa, kisinge kuwepo huo ni mfano mdogo.
  2. chifu mtoto

    KUFURU: Posho Bunge la Katiba ni sh 700,000 kwa siku!

    Mimi napita maana Tanzania ni nchi nzuri yenye mito na mabonde. Milima ya kuvutia pamoja na mbuga. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  3. chifu mtoto

    KIGOMA : Wazee wa Mwandiha wamjadili Zitto, wasema ni mtovu wa Nidhamu

    Wazee hukumbuka; Vijana Husumbuka: Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  4. chifu mtoto

    Wazo la leo wakuu!!!

    Hakika; Nakutunuku
  5. chifu mtoto

    Rais Kagame Kamteua Mtanzania kuwa waziri

    hata na mimi namtunuku. . .maana kuliko kubaki hapa na kuteseka. . .heli ukae kwa jirani na kufurahia maisha. . prof. . . NAKUTUNUKU. .
  6. chifu mtoto

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    kila lenye mwanzo lazima liwe na mwisho, maana hata ngoma ikivuma sana hupasuka. . wamewasha moto majvu lazma yatapatikana. . .wakristo kuwa kmya hujue wanatunga sheria. . .
  7. chifu mtoto

    Kwa ubunifu huu....CHADEMA Itaweza kutoa elimu bure katika ngazi zote

    hakika kwa mtililiko kama huo ni vyema serikali iangalie ktk katiba mpya maana hata nami nina unga mkono, ktk katiba mpya maana elimu watu wakipata tutaendelea sana maana walio wengi wataweza kujiajili ktk fani tofauti. . .nahakika serikali wanaweza kuangalia suala hili kwa kina, .maana elimu...
  8. chifu mtoto

    Lowassa: Kikwete, unda Tume kuchunguza Matokeo mabaya ya Kidato cha Nne

    Wapendwa watanzania wenye nia na uchungu kwa wadogo wetu walio feli kidato cha nne- . tume haita saidia chochote, . maana vtu vya msingi vinafahamika 1-serikali iwekeze ktk elimu sio kubweteka na kilimo, .2-pia walimu wapewe vpaombele kama jeshi au polisi, maana wanafanya kazi ktk mazingira...
  9. chifu mtoto

    Wazanzibar wafurahishwa na mauaji ya Padre Mushi

    inanishangaza sana enyi waislam walio na roho za kigaid . . sipati picha wakristo nao waaze kurudisha visasi, tazania itakuwaje! . .
  10. chifu mtoto

    Wazanzibar wafurahishwa na mauaji ya Padre Mushi

    hellow! ,hakika ni hatari
Back
Top Bottom