Recent content by Chief Sam

  1. Chief Sam

    Kamwe sikulitegemea hili

    Mama hataki mitikisiko kipindi hiki anachotaka October mtiki mambo yasiwe mengi,kifupi anashambulia na kudefence,ikiwezekana anabeba mpaka pumzi Yako 😂😂
  2. Chief Sam

    Dada nataka nikavunje agano la kujinyonga kwetu mwezi august, leo kajinyongaa dah

    Pombe achana nayo huwezi jinyonga umelewa ,leta bapa tuendeleee na maisha
  3. Chief Sam

    DOKEZO Meru, Arusha: Kuna Mwalimu ni mvuta bangi na anauzia wanafunzi Bangi

    Ana kitu kikali lakini? Usije mtolea taarifa kumbe anauza fwafwa tu.
  4. Chief Sam

    Makato NMB mkononi to Lipa namba

    Ni kwikwi nmeona juzi sirudii tena, ushauri kwao hii ni njia bora online ikipunguzwa makato au iwe for free
  5. Chief Sam

    Toto tundu Humphrey Polepole tafadhali sana tusitiri sisi ndugu zako

    Polepole anaupiga mwingi anatokea pembeni na katikati hashikiki kama col Palmer wa the blues😀
  6. Chief Sam

    GE2025 Sasa ni rasmi uchaguzi wa 2025 "HAUTAKUWEPO"

    Jambo la kusikitisha Kuna vijana wenzetu Tena wanazuoni wanauza utu wao kwa kuficha madhaifu ya serikali .Hatuwezi kuiponyesha nchi yetu dhidi ya wachumia tumbo na wanaouza nchi
  7. Chief Sam

    Kuelekea Dira ya Mapinduzi ya Nishati Safi 2034.Serikali ya Awamu ya 6 Yaanza Kusambaza Gesi Majumbani Kwa teknolonia Mpya.

    We umepata au mama yako kijijini kapata iyo gesi,we kenge izo ni siasa tu mbona kichwa chako kigumu kama cha mchwa?
  8. Chief Sam

    GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    Hawa ndio prostitute of politics kinachoangaliwa pesa tu,utafikiri mashamba hawayaoni kmmmmmk
  9. Chief Sam

    Ninawataka NIDA na INEC kuwaomba watanzania MSAMAHA

    Shida vyombo huru hatuna vyote vimetega masikio toka white house
Back
Top Bottom