Hata shule wewe ulienda kusomea ujinga kama unaamini kuwa wale watoto walikuwa wanataka kupindua serikali basi unaweza kuaminishwa kuwa mimi ndiye baba yako halisi na ukaamini. Hivi unajua maana ya kupindua serikali wewe?Umenikumbusha hadithi ya James Hadley Chase Believe this you will believe...
Hatuogopi uchaguzi tunachohitaji ni uchaguzi ulio huru na wa haki anayeshinda atangazwe kuwa ameshinda na anayeshindwa akubali kuheshimu matakwa ya wapiga kura, hilo likiwepo hata kesho tu tunatia timu. Matatizo yote yaliyotokea 29.10.2025 ni uchu wa madaraka wa CCM kwa kuendekeza wizi wa kura...
Wewe hujui tu kwa vile akili huna lakini hakuna mtu anadharaulika.hapa jukwaani kama wewe. Na kingine wewe ndiye unaongoza kumsababishia Samia atukanwe humu kwa mada zako za kisenge kumsifia mtu ambaye ni chukizo kwa wengi.
Huyu Waziri Kombo kumbe ni mpumbavu kiasi hiki,yaani wazazi ambao wamepotezq watoto wao tena wengu wakiwa majumba I na maeneo ambayo hayakuwa na vurugu walaumiwe kwa kosa gani? Hivi hawa Wazanzibari wanatuonaje sisi Watanganyika? Samia naye kwenye hotuba ya kw ya kwanza baada ya mauaji haya ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.