Recent content by CHIEF PRIEST

  1. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Hivi zile sinema za matamko ya uwizi wa tone tone yameishia wapi?

    Kuķàa kimya ni jibu zuri sana kwa hoja za kijinga.
  2. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    Never volunteer information.
  3. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Angeamua kukaa kimya bila kumjibu huyu chamatusi Sativa pia ingekuwa sawa tu kwani siyo kila kitu kujibizana huku mitandaoni, aidha Lemma amekosa hekima au kweli ameamua kuleta tifu ndani ya Chadema.
  4. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    Nani amesema kuwa yuko nyumbani kwake? Tunataka taarifa rasmi ya serikali na ni haki yetu kuhoji.
  5. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    Halafu watu wakisema ameuwawa wanasema wanaleta taharuki, hili ombwe la taarifa ya alipo Nchimbi ndiyo linakaribisha kila aina ya uvumi na tetesi.
  6. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    The Nyang'aus don't care.
  7. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Yaani Lemma kaingia kwenye mtego wa chizi Sativa kibwege sana, angempotezea Sativa angepungukiwa nini kwani credibility ya Sativa inaeleweka.
  8. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Ndiyo, kama 2015 alijitoa ufahamu na kujiandika kwenye mawe na madaraja nchi nzima kuwa ni Rais.
  9. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Lema sio mkubwa CHADEMA nae anaweza kufukuzwa kama Nchimbi

    Wewe ambaye unaingiliwa na Abdul ndiye huna faida yoyote bora babako angepiga punyeto tu
  10. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania 40 ya Sandra - Mtoto wa Diamond (Kuna Wanaume Soda zao hazina Gesi)

    Bunduki haina risasi
  11. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Mwigulu ni mpigaji kama wapigaji wengine tu
  12. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Uaminifu wa Wachaga kwenye upinzani unashuka, viongozi wachache wanaponza kabila zima kuonekana kujali maslahi tu, hawana msimamo wala uzalendo.

    Hayo ni mawazo yako mfu, sisi adui yetu ni CCM ambayo imejigeuza genge la kihalifu linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
  13. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Wakuu Tusipuuze ishu ya Dr. Emmanuel Nchimbi na taarifa zinazoitwa za Upotoshaji, mambo huwaga hivi hivi …..

    Yule ni kiongozi wa watu na hao ndiyo familia yenyewe maku wewe
Back
Top Bottom