Recent content by CHIEF PRIEST

  1. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Hivi BOT Mnasubiri Nini Kuweka Picha Ya Rais Samia katika Noti Zetu? Mnataka Taifa lifanye Maandamano yasiyo na kikomo?

    Ikiwekwa picha hii nitaunga mkono maana hii ndiyo legacy yake kwa Taifa hili
  2. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Huyu Chacha mbona ni sawa na UVCCM, wakati yeye ni senior ndani ya uongozi?

    Huyu bwege hana lingine la kusema na wanachama wa CCM zaidi ya kumsema Heche? Kweli CCM imeishiwa raslimali watu.
  3. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Godfrey Polepole awataja wahusika wa mauaji ya Oktoba 29. Ashauri Serikali isimalize pesa kwenye Tume ya Jaji Lila

    Mhusika mkuu wa mauaji ni CIC kwani mauji yalitekelezwa na majeshi ya ulinzi na usalama.
  4. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa machawa wote

    Wacha uchawa
  5. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Ukifuatilia suala la crude oil refinery ya Tanga- utaonatatizo kubwa la washabik na wanachama wa upinzani na CCM wanapenda sana vyama vyao kuliko nchi

    Tunataka official Chadema statement vinginevyo una chuki na hicho chama, kauli ya mtu binafsi hapa jukwaani huwezi kuichukulia kuwa ndiyo msimamo wa chama.
  6. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa machawa wote

    cc Lucas Mwashambwa
  7. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Ukifuatilia suala la crude oil refinery ya Tanga- utaonatatizo kubwa la washabik na wanachama wa upinzani na CCM wanapenda sana vyama vyao kuliko nchi

    Ungetuwekea na video ya hao Chadema wakiponda huo mradi hii video yako ingekuwa na maana sana, bila hivyo inaonyesha wewe umeiamkia vibaya tu Chadema. Weka ushahidi kubalance hii habari yako.
  8. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Leo nimeamua nikomae na kitabu cha MMEA MWANZO MWISHO “HEMP”

    Kato alikuwa anapiga kijiti tena cha Njombe
  9. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Leo nimeamua nikomae na kitabu cha MMEA MWANZO MWISHO “HEMP”

    Mashada tupu hayo
  10. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
  11. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Twaha Mwaipaya: Tazama mgambo wakichukua nguo za machinga Kariakoo, hapo machinga akienda kuchukua mzigo wake faini laki 3

    Bimsumi anaupiga mwingi hadi unamwagika.
  12. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Hapa Nchimbi angetumia njia aliyotumia boss wake kukalia hicho kiti, akisuburi njia ya kawaida sioni akifikia lengo lake njia hiyo ina miba sana .
  13. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Hii kesi imeshakuwa ngumu sasa. Ila mimi nafarijika sana hawa mazafakas wakizinguana
  14. CHIEF PRIEST

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Wacha wapasuane tu, mimi nafarijika sana hawa fusion wakiumana.
Back
Top Bottom