Umeandika kishabiki sana, sijui umefanya hivyo kwa faida ya nani!!!! As if hujui mkakati wa wanasiasa kuhusu vijana kuwa na nguvu ya kiuchumi (kuwa na fedha japo kidogo).
DART nyie ni kansa na nimaandui wa maendeleo, hamuwezi kuwaweka watu lisaa na nusu kituoni wanasubiri mwendoka, yaani hata ukisema upande ukageuke nalo, napo workdone equals to zero.
Naona kila mtu anaamua tu kuandika kile kinachompa furaha hata kama hajui kitu chochote juu ya kile anachoandika. Cha msingi ni kufurahisha fuvu na moyo.
Hakuna hata kitu uneandika hapa, umejaza porojo na kujipendekezwa kwingi uonekane na wewe unasema kazi alizofanya raisi.. kwenye kilimo serikali hakuna kitu inefanya amini hilo. Ipo siku utakuwa na akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.