Swala la mazingira.
Miji inakuwa kila mwaka bila mipango miji.
Nashauri watu wa mipango miji wapewe nguvu zaidi ya kisheria ya kuzuia ujenzi usiokuwa na vibali vya mipango miji.
Yawepo pia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya miti tu.
Miji iliyozungukwa na milima basi watu wakatazwe kuweka...
Mimi bila kudanganya nilishacheza zaidi ya Tzs. laki saba.
Kila siku najitahidi kucheza sii chini ya elfu kumi na tano,achilia mbali vile vibonus vyao wanavyonipa vya hadi elfu mbili na mia tano ambavyo navyo navicheza.
Sijawahi kupata kiasi cha zaidi ya elfu hamsini tuu,tena mara moja tangu...
Msije bumbaizwa kumuona akiutwaa ubunge kwa nafasi ya mstaafu MP Lema.
Hiyo ilikuwa mbinu tu ya kumwongezea mwendo.
...huwa hawatupwi kamwe bali hutumika kutengeneza trending news na kipima joto.
Huyu ni Mbunge na waziri wenu mtarajiwa.
Natamani siasa za humu kayani zingebadilika kufikia kuwa staili ya ushabiki mpira wa miguu ,tena mlionao kwa timu za ulaya,ili angalau kuwe na kubeti matokeo.
Kuwe na wawekezaji,hasa wale wenye jicho la kengeza la kuona fursa, kupitia "SIASAPESA" au SIASABET".
Tuambulie hata kulipa kodi kwa...
Naona mmetiririka sana nje ya maudhui ya mchango Na.32 hapo juu.
Nilitegemea kupata ufikiriaji na ufikirishaji wa jumla kuwa wanaoshikilia sukani za uongozi ktk siasa za upinzani katika kaya yetu walikuwa na bado wapo hivyo kuwa ni watu sahihi ambao ni wapinzani halisi au ni waliowekwa na...
...naomba kuwafikirisha kidogo.
1.Hivi siasa za vyama vingi zilipokelewa je AfrikaTZ?
2.Hivi wale tuliowaita wanamageuzi enzi hizo walitoka kwenye kada ipi ya utumishi wa umma,alikuwepo mfanyabiashara au mkulima?
3.Hawa wanaoendeleza mageuzi walitokea wapi?
Akina Mwamba...etc?
4.Kwa nini...
...naomba kuwafikirisha kidogo.
1.Hivi siasa za vyama vingi zilipokekewa je AfrikaTZ?
2.Hivi wale tuliowaita wanamageuzi enzi hizo walitoka kwenye kada ipi ya utumishi wa umma,alikuwepo mfanyabiashara au mkulima?
3.Hawa wanaoendeleza mageuzi walitokea wapi,Mwamba...etc?
4.Kwa nini kujenga...
Naomba jibu la tafakuri kuwa sio tu mbowe na familia yake waliojitenga au kujikuta na athari za corona.
Hivi kwa nini makonda hakuwataja hao wengini kwa majina hasa baada wao kuwepo baada ya Mboe,tena waliojitaja na wasiojitaja?
Hivi ni kweli kuwa Mbowe alijulikana kwa uma ndio maana akaenda...
Uzuri ni kuwa hamjui maana ya kuwa mlipewa dhamana tu ya kuongoza.
Badala yake mnajirasimishia hizo nafasi kwa kuwa hamna aliyewashawishi kuchukuwa form za kugombea.
Namkumbuka yule aliyesema kuwa "hiki cheo nilikipata kwa mtutu wa SMG,kama na wewe unakitaka ibgia msituni".
Mungu atutendee...
Wachagga ni sawa na wana wa Israel,Wayahudi,watakuwa ugenini kwa shuruba za utafutaji,watajisikia kunyanyasika,watatafutiwa kila aina ya mateso na masengenyo,hata hasara na umauti,Ila hawakati tamaa kwani Mungu wa ahadi ya kuwavusha hajabadilika.
Mungu wa wayahudi anayaona wanavyopigania maisha...
Hivi angerudi nchini kungekuwa na uwezekano wa kumruhusu akaendelee na matibabu au clinick huko Italy au angeambiwa Muhimbili wanaweza kuendelea na kazi hiyo?
Passport ikiwa ceased angeendaje huko?
Amelekwepa hili,leo wamembana kwenye kete ya kingi.
Walizicheza kete vizuri hao wakuu.Just to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.