Viongozi mkumbuke kuna siku mtakuwa wastaafu, hamtoongoza milele

chotera

JF-Expert Member
May 19, 2016
6,305
15,033
Wakuu,

Kiongozi mwenye hekima na busara huunganisha watu wake wawe kitu kimoja.
Wakumbusheni viongozi waliopo madarakani kuwa Watanzania sio wajinga wanaona kila kitu.

Na wakumbusheni huo uongozi ni dhamana tu wamepewa kwa muda na wenye dhamana ni wananchi.

Wakumbusheni kuna siku watastaafu na watakaa pembeni na wao watakuwa watazamaji.

Wakumbusheni wasiwafanye vyama vingine kama watoto wadogo.

Wakumbusheni Mwalimu Nyerere alitumia nguvu kubwa na muda mwingine kulaumiwa ili kuijenga demokrasia ya vyama vingi.

Vyama hivi sio dhambi kuwepo kwani vipo kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
.
IMG_20191023_233640.jpeg
 
Wakumbusheni Mwalimu Nyerere alitumia nguvu kubwa na muda mwingine kulaumiwa ili kuijenga demokrasia ya vyama vingi.

Vyama hivi sio dhambi kuwepo kwani vipo kwa mujibu wa sheria za nchi.
Wenyewe wana amini uwepo wa upinzani ni kwa HISANI ya CCM na si Katiba. Wanaamua nani agombee na nani ashinde. 2015 tulimwona Jecha na 2019 ni Jafo na wasimamizi wake wakiongozwa na STONE.
 
Wenyewe wana amini uwepo wa upinzani ni kwa HISANI ya CCM na si Katiba. Wanaamua nani agombee na nani ashinde. 2015 tulimwona Jecha na 2019 ni Jafo na wasimamizi wake wakiongozwa na STONE.
Mtasubiei sana.
Tumeahamuansa mtoto au MTU anaetulinda na atakaeendeleza matakwa yetu.
"Yajayo tatawaumiza zaidi".
 
Mtasubiri sana.
Tumeshamuanda mtoto wetu au MTU anaefanana na sisi,atakaetulinda na kutekeleza tuliyoyaanzisha.

"Yajayo yatawaumiza sana"
 
Back
Top Bottom