Naomba kuuliza wadau.
Hivi ukichrewa kusaini pesa ya kujikimu, pesa hiyo itarudishwa bodi na hutopewa tena hata ukisaini au inakuwaje?
Naomba kujibiwa.
Wanafunz walioomba mkopo mwaka Jana wkakosa na mwaka huu wakaomba tena yan wapo mwaka wa pili sasa majina yao yana jumishwa humohumo au kna njia nyngne? Nauliza wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.