Chidi master
Member
- Nov 5, 2018
- 17
- 0
Naomba kuuliza wadau.
Hivi ukichrewa kusaini pesa ya kujikimu, pesa hiyo itarudishwa bodi na hutopewa tena hata ukisaini au inakuwaje?
Naomba kujibiwa.
Hivi ukichrewa kusaini pesa ya kujikimu, pesa hiyo itarudishwa bodi na hutopewa tena hata ukisaini au inakuwaje?
Naomba kujibiwa.