Mengi ni mnafiki tu. Huyu si alijifanya anapambana na mafisadi? Imekuwaje leo anawakumbatia na kuruhusu vyombo vyake vya habari vitumike kuwapigia debe mafisadi?
Taarifa hizi ni za kweli. Makongoro anaheshimiwa pia ndani ya ngazi za juu za chama kutokana na kusema ukweli na uadilifu wake. Nasikia yeye ndio chaguo la wazee wa CCM wakiwemo kina Mangula. Ngoja tuendelee kusikilizia.
Hivi ilikuwaje akaondolewa pale wizarani? Hebu tudokeze kidogo Sergio. Anyway, wakati mwingine ni vema ukatekeleza wajibu wako na kuacha alama fulani, kama alivyofanya huyo dogo.
Upo sahihi kabisa. Hawa watu lazima watushawishi kwa rekodi zao za utendaji na sio vinginevyo. Katika vijana waliojitokeza mpaka sasa naona William Ngeleja ananishawishi kutokana na rekodi yake ya utendaji alipokuwa waziri wa nishati na madini. Ndiye aliyeasisi mradi kabambe wa kusambaza umeme...
Mpaka wakati Rais Kikwete anatoa ufafanuzi kuhusu umiliki wa fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow na kubainisha kuwa zilikuwa za IPTL, athari za uongo uliotolewa bungeni na PAC kuwa zilikuwa fedha za umma zilikuwa zimesambaa kwa kiasi kikubwa na hata kuwafanya wananchi waanze kudai fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.