Habar wakuu naomba kufahamishwa juu ya uwezekano wa mtu aliyechaguliwa Bvm kwa matokeo ya diploma anaweza pata mkopo?mm nimechaguliwa kozi hiyo na wazazi wangu hawawezi kunisomesha private so nataka kujua kama hapati niachane nayo ndoto ya kusoma degree.tafadhali naomba mnaofaham haya mambo...
yap airtel, kwa sababu ndio mtandao ambao kupitia huo pekee unaweza kufanya hayo au labda kama una current information kuwa unaweza kutumia mtandao wowote kufanya zoezi hilo tafadhali nijuze.
Habar wakuu naomba kufahamishwa steps za kuangalia majina ya waliochaguliwa na tcu kwa kutumia simu na pia kama kuna tofauti ya steps kati ya form six na wale diploma holders.namba kujuzwa plz.
Habar wakuu hivi hii wizara ya mifugo ina mpango gani juu ya kuwaajiri maafisa ugani ambao wamehitimu yapata mwaka na miezi 2 hivi sasa au ndo hawaajiri kabisa mwaka huu naomba mwenye tips from authentic soursce juu ya lini serikali kupitia wzr hii itaajiri?.... mtaani kusha chosha ukizingztia...
Habar wakuu hivi hili swala la second round la tcu ni kwa form six applicants tu au hata wale walio apply kama diploma holder inawahusu naomba kueleweshwa.
Habar wana jukwaa ,kuna jambo binafsi natamani kulifaham ki uhalisia wake Hivi ni kweli kuwa watoto wa mama mmoja wanapendana zaidi kuliko wa baba mmoja mama tofauti?., naomba kuwasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.