Recent content by chibi

  1. C

    Naomba kujuzwa pIkipiki nzuri kwa bajeti ya 3.2 Mil hadi 3.5mil

    OK poa nitapita pita jtatu Nashukuru chief
  2. C

    Naomba kujuzwa pIkipiki nzuri kwa bajeti ya 3.2 Mil hadi 3.5mil

    Sifa ya hizo click mkuu sizifaham Labda durability yake, fuel consumption, na upatikanaji wa spare na Labda kwa Dsm nitazipata maeneo gani
  3. C

    Naomba kujuzwa pIkipiki nzuri kwa bajeti ya 3.2 Mil hadi 3.5mil

    Nataka mpya mkuu...Ila hiyo naked au dirty sio mjuzi wa vitu hivyo mkuu maana yake sijui
  4. C

    Naomba kujuzwa pIkipiki nzuri kwa bajeti ya 3.2 Mil hadi 3.5mil

    Habari wanajukwaa naomba kufaham pikipiki nzuri mpya kwa matumizi binafsi ya kwenda ofisini na mizunguko ya kawaida weekend. Hasa pkpk za kijapan ambazo nadhani ni durable bajeti yangu ni 3.2-3.5 million. Karibuni kwa mani yenu.
  5. C

    INAUZWA Miche ya minazi inauzwa

    Delivery ipo nipo buza
  6. C

    Mchezo wa draft ulimtoa machozi babu

    Mkuu hivi ulishajaribu kucheza dalmax checker na ukaweka difficult 100% kama bado hebu jaribu kisha utajitathimini
  7. C

    Mafundi kompyuta (software and hardware)

    Nataka touchpad ya hp folio 9470 vp naweza pata na Sh ngapi
  8. C

    Fundi mzuri wa laptop (Hardware na software )

    Habarini wakuu Naomba kujua fundi mzuri na wa kuaminika wa PC Kwa Dsm upande wa hardware na software hasa maeneo Tandika au Temeke ikishindikana maeneo Hayo basi kokote ndani ya Dsm Nawasilisha
Back
Top Bottom