Recent content by Cheusi Mangala

  1. Cheusi Mangala

    Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Ofcourse watagaramia usafiri ila malazi ni sehemu ya mshahara
  2. Cheusi Mangala

    Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Unguja, sinywi pombe ila napenda kutoka
  3. Cheusi Mangala

    Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Infact maslahi ndio yananishawishi Sana hapa. Taasisi ninayofanyia kwa sasa sijaridhika Sana na malipo yao
  4. Cheusi Mangala

    Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Kwani Kama sio shoga watakufanya nyuma.?
  5. Cheusi Mangala

    Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Mimi mwanaume, Mimi mwanaume, iyo tako sunna unamaanisha mashoga ni wengi?
  6. Cheusi Mangala

    Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Habari ndugu zangu, kuna kazi nimepata Zanzibar napaswa kuanza soon mwaka huu. Nimekuja kwenye dilemma ya kwenda au la, ni shirika lililopo bara na kule Zanzibar wana branch yao. Changamoto za Zanzibar ni zipi na uzuri wake ni upi?
  7. Cheusi Mangala

    Biashara ya Bar

    Mkuu, pole kwa changamoto.. Ishu ya madeni kwenye biashara hasa Glocery ni tatizo kwa wengi wanaofanya biashara hiyo. Kwa maoni yangu tatizo linaanza pale mahusiano/mazoea na wateja yakivuka mipaka, wengi watagugeuka wakishakopa watakukimbia na utakula hasara. Cha kufanya ni kuzuia kukopa...
  8. Cheusi Mangala

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Ni kweli baadhi ya taasisi zipo kibiashara tu
  9. Cheusi Mangala

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Kwani, unauhakika wangetenganishwa ulaya wangepona wote? Natamani watu kama nyie niwajue siku ukiumwa uje kutibiwa nikukumbushe izi comment
  10. Cheusi Mangala

    Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

    Huyo daktari pengine ameshawasaidia wengi kabla ya hili kutokea, na pengine wengi tayari wanamheshimu.. Kuna vitu tunasahau, daktari huyu aliletewa majibu na pathologist na pengine alipohusianisha na dalili za mgonjwa akaona ndio tatizo alilonalo. Kesho keshokutwa hatuombei, ukiumwa utatibiwa...
  11. Cheusi Mangala

    Natafuta mwenyeji Iringa Mjini

    Nimefanikiwa mkuu, nashukuru
Back
Top Bottom