Recent content by Chesi20

  1. C

    Kwanini ukimsifia Rais Magufuli CHADEMA wananuna na kutoa dhihaka - Wanahitaji Elimu?

    Mimi nafikiri wanachadema wanaomsifia Tundu Lisu kwa nyimbo, mapambio na mashairi, na kupinga mikakati ya raisi JPM ya kuua tabia ya kutegemea misaada toka nje, wanahitaji kusoma historia ya wazungu jinsi walivyokuja Africa miaka iliyopita walivyowatenda babu zetu nk. Wanachadema wakasome...
  2. C

    Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

    Aliekuambia nawashwa na pilipili ni nani?? Acha mihemko jibu hoja. Kunitukana mm nguchiro siyo hoja kwenye uzi huu. Ila ukiendelea na matusi utakipata unachokitafuta.
  3. C

    Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

    Siishi Ubelgiji mimi na wala sijui kama kuna mazumbukuku wanaioshi huko au la. Labda umuulize Tundu Lisu akufahamishe kama huko pia kuna mazumbukuku au la.
  4. C

    Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

    Sijawalazimisha. Kama ulisoma vizuri post yangu iliyojibu hoja yako, ilikuwa na alama ya kuuliza. Nitakubaliana na wewe kuwa Lissu ni genius na wise person, endapo ataachana na issue za Tanzania ilihali bado yupo ubelgiji. Pia nitakubaliana na wewe endapo wabelgiji watampa kazi yoyote ya...
  5. C

    Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

    Sawa. Kama Lissu ni genius na wise person kwanini hao wabelgiji wasimpe ubunge au urais akaongoza wananchi wa Ubelgiji??
  6. C

    Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

    Nitafurahi sana kuona hiyo sheria itakayopitishwa kuanzia tarehe 10 December itapigania haki za binadamu na kuondoa utawala wa kidikteta duniani kwa kuruhusu maandamano yanayopinga lockdown UK yaendelee bila kuzuiliwa na police au kukamata waandamaji. Na pia sheria hiyo kuruhusu vyombo vya...
  7. C

    WHO yaitaka Afrika kujiandaa na usambazaji wa chanjo ya corona

    Kama unaona hizi ni hisia zangu binafsi au hofu za kutengeneza basi time will tell.
  8. C

    WHO yaitaka Afrika kujiandaa na usambazaji wa chanjo ya corona

    Sasa huoni wanatumia kigezo hicho kuhamasisha serikali za nchi za Africa kuwachoma waafrika??
  9. C

    WHO yaitaka Afrika kujiandaa na usambazaji wa chanjo ya corona

    Soma hiyo 👇🏾 ndugu. https://www.bbc.co.uk/news/uk-52219070 Soma na hiyo pia. https://www.bbc.co.uk/news/health-53651954
  10. C

    WHO yaitaka Afrika kujiandaa na usambazaji wa chanjo ya corona

    Halafu wengine wanathubutu kusema ooh Tanzania hakuna uhuru wa vyombo vya habari, ooh Tanzania hakuna demokrasia na haki za binadamu, mara ooh JPM dikteta!! Jiulizeni hayo maandamano ya London yanayopinga mambo ya lockdown na migogoro ya wanasayansi inayohoji kuhusu uvaaji wa barakoa, mbona...
  11. C

    WHO yaitaka Afrika kujiandaa na usambazaji wa chanjo ya corona

    Ndugu, sijui uko upande gani wa dunia. Hivi unakumbuka BBC na radio za huko ulaya zimekua zikitangaza kuwa watu weusi na wahindi ndio waathirika wakubwa wa corona??
  12. C

    WHO yaitaka Afrika kujiandaa na usambazaji wa chanjo ya corona

    Watu wengi wa ulaya na marekani wanaonekana kugoma kuchomwa hiyo sindano sasa wanataka kushawishi serikali za nchi za Africa kukubaliana nao kuhamasisha hiyo vaccine. Shenzi sana
  13. C

    WHO yaitaka Afrika kujiandaa na usambazaji wa chanjo ya corona

    Kwani, kulikua na makubaliano yaliyofanyika kati ya mtoaji na mpokeaji wa £million 27 kuwa ukipokea mzigo wa pesa lazima uchukue na kuchoma watu chanjo ya covid-19?!
  14. C

    Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

    Sitetei ujinga upumbavu, nimetoa maoni yangu kama wewe unavyotoa mtazamo wako hapa.
Back
Top Bottom