Asanteni wote kwa ushauri wote.
Mbalamwezi inawezekana ana sababu zake lakini kwangu mimi naona sababu zake hazina mashiko, kwa maana tulikuwa tumekubaliana kuwa mtoto akifunga shule atakaa two weeks kwangu na two weeks kwake, ila juzi alianza kuniambia ya kuwa anataka kuwa na mimi mana...
Habari zenu wadau,
Nina jambo nahitaji ushauri tafadhali.
Nina mtoto wa miaka 5 lakini hatukubahatika kuoana na baba mtoto, tabia zilinishinda kila mtu akaenda njia yake. kwa kipindi ambacho tumeachana yeye akaoa mwaka juzi lakini baada ya kuoa akaanza kutaka niwe mchepuko wake nikamtoa baru...
hahahahaaa wananchi acheni fujo jamani. naweza kuwa na miaka hata 40 lakini sijui kutongoza mwanaume mie hutongozwa tu. nahitaji maujuzi jamani hee.
Halafu wewe Tyta (sijui kumention i hope utasikia), hizo sio story, ni issue za ukweli zote mbili na muhusika ni mimi. baada ya jamaa wa kwanza...
Wandugu wazimaa?
Nina jambo lanitatiza.
Tumesoma wote kidato cha kwanza na cha pili. Alikuwa akinipenda lakini hakuweza kuniambia nilikuwa nikiambiwa na rafiki zake.
Nilihama ile shule kwahiyo hatujawahi kuonana since then, ni miaka 21 imepita sasa.
Tumekutana miezi miwili iliyopita na...
huwezi amini but simu anawapa namba rafiki zake wa mobile networks wacheck call details. na nyendo zangu huwa ananiambia leo umepita hapa hapa pale umesimama na huyu kuongea na huyu..how do i manage that hebu nambie? hatuonani wala kukutana ni kwenye simu tu tunaongea
tumeongea sana. ila tatizo alishajitambulisha kwa wazazi wa mwanamke na kuahidi kwenda kutoa mahari. na mwanamke ametishia kujiua mara tatu kila akimwambia anamuacha, na mbaya zaidi mwanamke kahamia kwa jamaa.
Kwanza shikamooni/marahabaa
Mie ndo mara ya kwanza kupost mada humu jamvini, yamenikuta. Kuna kijana nampenda mnooo na yeye anajua hilo, hapo mwanzo tulikuwa wapenzi lakini kwa sababu zisizozuilika tukaachana tukaja onana tena miezi miwili imepita anasema ananipenda bado lakini ana mtu ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.