Recent content by Cherish Mlambo

  1. C

    Picha: Viongozi wa vyama vya siasa wakutana na Rais Kikwete Ikulu leo; CCM ndani ya Nyumba

    mambo ya siasa bwana! et hapo wanachekeana,, ngoja watoke hapo utashanga Mwenyewe vumbi litakalo timka hapo.
  2. C

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    Jamani tuelewesheni vizuri sie wengine wagumu kuelewa, yani mama yake mzazi kauwawa kwenye tukio hilo ambae muuwaji ni mume wake, tunajua ufosaro mtangazaji yupo hosptali, je na huyo baba mfanya kazi wa UN nae alijiuwa? au amekamatwa??
  3. C

    Picha: Vurugu Zinazoendelea Mbeya, Mabomu yatawala sababu ni kugoma kununua TRA register's

    Ifiki wakati serikali itazame maisha ya watanzania, kwani laki nane mbona nimtaji kabisa! TRA labda ingefanya mpango wa kuwapa bure mbona manufa ya mashine hizo ni kwao wenyewe TRA?
  4. C

    Binadamu wa kwanza kuona kwenye giza atokea China, ana macho ya bluu

    Siku za mwisho hizi na tutashuhudia mengi sana yakitokea.
  5. C

    Zitto: Kama serikali ikishindwa kufuatilia pesa za uswisi tutafuatilia

    Jamani kwani kunanini mpaka leo hizo pesa?
  6. C

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Tunaomba m2juze zaidi, mbona presha inapanda na kushuka??
  7. C

    Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

    Hongera sana kwa ushindi mwigulu@arusha
  8. C

    Amini usiamini jitoto dogo huyu

    Haya ni matatizo wala sio afya.
  9. C

    Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!

    ccm sasa mkitumaliza mtamuongoza nani? uongozi ni watu na watu ndio sisi, acheni wivu wa maendeleo ju ya chadema, nyie ndio mnaolipua na makanisa.
  10. C

    PICHA: Kada wa CHADEMA, Amos ajeruhiwa vibaya kwa Shoka na GREENGUARD wa CCM Arusha

    Pole sana kijana! hiyo ni dalili nzuri ya ukombozi, mara nyingi ukiona damu inamwagika hivyo ni ishara nzuri ya ukombozi wa taifa hili, mungu atakuponya mdogo wangu.
  11. C

    Capt. Komba: CHADEMA inachangia kufeli na kushuka kwa elimu Tanzania!

    Kweli huyu mh komba aliongea hivyo, ila 2msamehe alikuwa kashiba na kausingizi kalikuwa kamempitia km kawaida yake, hivyo wakati wakuchangia alikurupuka 2 bora angeomba maji anawe uso kwanza ajue nn kinaendelea.
  12. C

    VIDEO: Prof. Lipumba akiri kumsaidia Rais Kikwete katika Uchaguzi 2010

    Ama kweli Lipumba pumba2, hapo ndio 2mefamu chadema ndio chama cha ukombozi, caf itaendelea kufunga ndoa2 na ccm.
  13. C

    Ya Mtwara yapelekea Bunge kuahirishwa hadi kesho; bajeti ya Nishati na Madini yaahirishwa!

    Mh mnyika alisema kweli, kwa nini serikali haitaki kuweka wazi mikataba ya gesi wananchi 2ielewe? kuna ki2 hapo.
  14. C

    Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

    Kuanzia leo mwanangu soda ataiona mkwe! m2juze na mengine ambayo ni sumu.
Back
Top Bottom