Recent content by Chereko

  1. C

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Tupambane na Corona hii ni vita
  2. C

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Taarifa ni muhimu ifafanue wagonjwa hao wanaishi maeneo gani na majina yao, itasaidia wananchi kuchukua tahadhari lakini sio kunyanyapaa. HII ni VITA sio LELEMAMA na tuachane na hizo ethics za kuficha siri, tazama muda mfupi tu social media Inaumbua.Taarifa itolewe rasmi na kwa wakati
  3. C

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Kama kuna mashirika ambayo nahisi yanahitaji kupitiwa na kasi ya upepo wa JPM ni NSSF na DAWASCO - wanyonge wanadhalilika sana kutokana na utendaji mbovu
  4. C

    Utashangaa mazingira ya sasa katika daraja la Mfugale jijini Dar

    Ni kweli! hata hivyo naona wameanza kufyeka majani ila vifaa wanavyotumia MMMMMMH
  5. C

    Utashangaa mazingira ya sasa katika daraja la Mfugale jijini Dar

    Wakati wajapani wamemaliza Ujenzi daraja la Mfugale mazingira yalikuwa mwanana majani yaliyopandwa hapo yakipendeza - pita leo UTASHANGAA jamani hata kuhudumia mandhari hatuwezi? TANROADS au City? Mpo wapi au bado mnafanya mchakato wa Tenda?
  6. C

    Jiji la Dar mmezidi, tozo ya kupaki gari hadi hospitalini!

    Hivi mnapopakua tozo ya kupaki magari hata kwenye mahospitali hamuoni aibu? Mfano pale kwa Kariuki, hospitali sio yenu kwa nini mgonjwa afike na kulipa tozo ya paki kwa Jiji? Matibabu huchukua muda mrefu je hamna vyanzo vingine vya mapato zaidi ya kuwatoza wagonjwa?
  7. C

    Gavana wa BOT atangaza Serikali kuichukua na kuisimamia Benki ya Twiga Bancorp

    Habari za BOT kusimamisha TWIGABANCORP kwa nia ya kusimamia au kuifilisi ni habari zisizo njema kwa Wananchi hasa ikizingatiwa kuwa benki hiyo wateja wake wengi ni wajasiriamali wadogo. Tangazo la Governor wa BOT limechanganya watu wengi tazama wale ambao wana akaunti hapo na wanazitumia...
  8. C

    BUSTANI KONA YA NYERERE - MANDELA KICHEKESHO

    Hivi hawa wanaotengeneza bustani kona ya Nyerere Road na Mandela hawana habari kuwa Ujenzi wa madaraja hapo karibu unaanza? Hiyo miti na maua wanayopanda si itang'olewa tuu? Hii kweli kichekesho na ni jipu hili linafaa litumbuliwe
  9. C

    Mifuko ya Jamii, pesa za waliopotea zaenda wapi?

    Hivi huko mifuko ya jamii kama kuna watu waliopotea (kama kifo) na hakuna wafuatiliaji fedha zao wanazifanyia nini? Wahusika watupe ripoti
  10. C

    Obama Ashambuliwa, Aitwa Nyani Mwafrika mshenzi, aambiwa arudi porini...!

    Hay makorea si kama nguruwe tu wanaokula kila kitu?
  11. C

    Hoja binafsi bungeni

    Ningekuwa mbunge ningetoa hoja binafsi kama ifuatavyo: HATUA DHIDI YA MAJANGA YA BARABARANI: Kutokana na madereva wa vyombo vya moto kutobanwa na sheria kali, uzembe utaendelea nchini na tutazidi kuwapoteza ndugu zetu kutokana na ajali. Aidha ajali zinaathiri uchumi kutokana na ndugu wa...
  12. C

    Mwendo kasi waua jamani

    Habari nyingi miaka na hasa siku za karibuni ni ajali na vifo vinavyotokana na ajali na sababu kubwa ni mwendo kasi. Hivi kwani waendesha magari wanakimbilia wapi? :A S 13:
Back
Top Bottom