Recent content by Chenery

  1. C

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Magufuli: Natamani kufika kila eneo kufanya kampeni lakini siwezi

    Hana ujasiri wa kwenda kusini, na kaskazini na kanda ya ziwa amebomolewa ngome zote, sijui aende wapi sasa. abaki tu Dodoma, Tanga na Pwani
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufunga Drip Irrigation system

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kufunga drip irrigation system kwenye shamba langu. Ijapokuwa shamba lenyewe ni kubwa, nafikiria kuanza na eneo nililolichagua, lenye ukubwa wa mita za mraba 4,000 (4000sqm). Hali ya shamba: 1. Liko tambarare kwa asilimia 90 2. Tayari nina maji ya...
  3. C

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mgombea Mwenza wa Lissu ni mzaha wa CHADEMA kwa Watanzania!

    Na wewe tukuulize CCM wako serious kumpa mama Samia kuwa Mgombea mwenza? au ziletwe zile picha na Bashite humu?
  4. C

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mzee Shomari: Lissu ulikuja kugombea urais, je hukujua CCM ina intelijensia ya hali ya juu?

    Mtaruka ruka kama maharagwe yanayopikwa kwenye pressure cooker.
  5. C

    JamiiForums Tanzania GE2020 Polepole acha kuruka viunzi, tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani

    Bila NEC na Polisi, CCM ni wepesi sana
Back
Top Bottom