Recent content by chella

  1. chella

    Jaji Sinde Warioba kanishangaza

    Hata wazanzibari walikuwa wakilalamika wenzeo wa CCM huwa wanapewa nini wakifika dodoma maana wakitoka kwao Lao huwa moja wakifika dodoma wanabadilika
  2. chella

    Jengo liloanguka: JK kashaanza kuingilia kazi za wachunguzi

    Ni kweli mambo ya ujenzi yana involve mambo mengi tusilaumu maengineer maquantity surveyor lazima tuangalie na ubora wa nondo na cement je zilikuwa na ubora wa kutumika kwenye ujenzi? kwani inawezekana msimamizi akafuata taratibu zote lakini kumbe nondo au cement hazina ubora mi nilishawahi...
  3. chella

    Oil chafu kwa matumizi ya vyama vya siasa yatayarishwa

    kumwaga kuzunguka nyumba ili kuzuia nyoka na wadudu hatari
  4. chella

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    huu ni uongo na tunadanganywa hivi kwasababu ya uwezo wetu wa kufikiri biashara yeyote uanza kwa kuupatana bei kabla hamjaanza kufanya biashara umeletewa quotation na bei sio ile ulio patana kwa kwanini usiurize kabla hujanunua
  5. chella

    Kiashiria kingine cha uhusika wa serikali mateso ya dk ulimboka

    kwa jinsi unavyosema inaonekana ajali zote zinazotokea hapa nchini CDM wamehusika nina wasiwasi na akili yako
  6. chella

    M4C Kimanga (Picha moja)

  7. chella

    Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

    naunga mkono hoja 100%
  8. chella

    GE2010 Nini Tofauti ya Mramba, Chenge NA Mwakalebela?

    swali je endapo Mramba atachaguliwa alafu akapatikana na hatia kabla hajamaliza kipindi chake cha ubunge je hawaoni kurudia uchaguzi itatugharimu pesa nyingi na huku tunararamika hatuna hela kwanini wasisubiri maamuzi ya mahakama wameliaangalia hili
  9. chella

    Wafanyakazi: JK Hahitaji kura zetu

    utakuwa mpumbavu kama utampa kura wakti yeye mwenyewe kashasema hazitaki mi simpi
  10. chella

    GE2010 Dr. Slaa mgombea urais 2010 kupitia CHADEMA

    nafikiri sasa tunamgombea uraisi anaeuzika upande wa upinzani anaitaji kuungwa mkono ili alete upinzani wa kweli
Back
Top Bottom