Daaah pole sana mkuu,haina ushauri hiyo,ila ameonesha dharau kubwa sana
Ni bora ungeshtukia wakati ashaliwa,lakini umeona akitongozwa,ukamwambia lakini akafanya,kwa dharau hiyo huyo mtoto wako mrudishe tu kwa wazazi wako na yeye mteme,maana sidhani kama utaweza kumwona ni wa kawaida
Sent from...