Hahahaahahahahahahahahahahahahaha mku inaonyesha jinsi gani umeguswa na upuuzi wa huyu jamaa. Angekuwa karibu na wewe muda huu sijui ingekuaje?. Sema usisagau uwepo wa visa vya kutunga
Ndio sijakuelewa na ndo mana naendelea kukusumbua ili nitoke na kitu. Sipo hapa kurumbana. Nachotaka kufaham ni nguvu ya ubani Kwenye maombi ili ikiwezekana nianze kutumia. Au nije pm nn?
Jukumu la mtu mwenye mwenye imani ni kumuelimisha asie na imani ili aamini kama yeye. Sasa mnatakiwa kutuelimisha kunako ubani ili nasisi tuanze kuuwasha mana tuna mashida kibao Mungu anajifanya hatuoni kumbe kuna njia rahisi yakumfanya mungu atuelewe
Maelezo yako yamejirudia . Nachotaka kufahamu ni mambo 3
1: Ubani ni nini? (Ni magome ya miti na ni mti gani/ ni matunda / ni mizizi nk..)
2: Kuna mahusiano gani kati ya ubani na maombi/dua.? (Mana kama ni moshi je tukichoma mti mwingine wowote wenye moshi ni sawa? Na je ni kiomba bila ubani...
Wakuu katika kupambania vibarua vyetu ili kutekeleza ilani ya chama tawala , nimejikuta niko Dodoma, sio mara ya kwanza kuja Dom kikazi ispokuwa mara kadhaa nilipokuwa nikija nilikuwa nakuja katikati ya wiki nakuwa bze na kilichonileta then nageuka, na hata nilipokuwa nafkia ni pembeni mwa mji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.