Wiki iliyopita nimekutana na jamaa aliyenibugudhi gheto kwa sababu ya kuchoma udi

Ishu sio kuchoka ila ishu ni kuchukua ubani Huo Huo ambao alikuwa ananibugudhi nilipo kuwa nauchoma...
Sasa anakichukiq mwenzako wewe unanuna...no kweli kina vitu Fulani Waislam ma Madhehebu mengine ya Kikiristo wanachomaga' harufu yake hunichefua!
Hata manukato wanayopaka Waislam wengi huwa yananitia kichefuchefu!
 
Pamoja na yoote hapo kwenye HOSEA 2:18 umedanganya sana, inasema...

"18 Nami siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mashamba kwa ajili yao, tena na ndege wa angani, tena na wadudu wa nchi; nami nitavivunja upinde na upanga na silaha vitoke katika nchi, nami nitawalalisha salama salimini."

Au unamaanisha nini kuhusiana na hiyo verse with that ubani?.
 
Nilipo maliza chuo mwaka 2011 sikutaka kabisa kukaa home. Infact nimeanza kukaa gheto toka nipo form five way back in 2005.

So nilipo maliza chuo fasta Nika Enda kupanga chumba mitaa fulani jijini Darusalama Mbali Na kitaa nilicho zaliwa Na kukulia..

Sikutaka kuishi karibu Na mitaa ya nyumbani kwetu...

Kwa Sisi watoto wa kiislamu kuchoma ubani Ni Jambo la kawaida Sana.

So kama kawaida nilikuwa nachoma ubani Kila ifikapo usiku wa kuamkia ijumaa.

Kwa Sababu nafahamu baadhi ya ndugu zetu wakristo kwa Sababu ya kukosa kwao maarifa sahihi ya kiroho ( Hosea 2:18) wanakuwaga na phobia Sana Na Moshi wa ubani hasa ubani ujulikanao kama ubani Maka ( Frank incense) so nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha Moshi hauvuki kwenda vyumba vya wapangaji wenzangu Kwa Sababu baadhi Yao walikuwa wakiristo..

So nilikuwa nikisha washa mkaa ukawa tayari kwa kuchoma ubani ntajifunika gubi gubi na shuka then ndo natosa ubani wangu kwenye chetezo.

Hata hivyo still bado Moshi kidogo ulikuwa unavuka na kwenda vyumba vya jirani Ingawa sio Kwa kiasi kikubwa kihivyo..

Bana we, ilikuwa kila nikichoma ubani hata kabla sijamaliza Dua zangu nasikia jamaa ( mpangaji mwenzangu) ana bisha hodi..

Alikuwa anapiga mlango mpaka ahakikishe nimefungua na kila nikifungua ananiambia aisee kuna moshi unatoka kwako, uzime.

Alikuwa ananikwaza sana huyu jamaa. And as if that is not enough akaenda kumwambia na mwenye nyumba kwamba kuna mtu anachoma ubani usiku.

Bahati nzuri mwenye nyumba ni mtoto wa mjini na yeye mwenyewe ni mswahili so akawa ananiacha. Kuna boya mjinga mjinga anasema eti unachoma ubani unamkwaza ila usimjali sana kwa sababu mtu mwenyewe mgalatia halafu ametoka mkoani mjini ameletwa na chuo kwa hiyo wewe ishi naye hivyohivyo..

Three months later nilitoka katika nyumba hiyo nikaenda kupanga nyumba nzima ya peke yangu ambako huko nilikuwa huru kuchoma ubani na mafusho kila siku kulingana na siku husika plus kuwaleta mashekhe na watoto yatima kwa ajili ya visomo vya usiku, kuchinja kondoo nakadhalika..

Two years later nikahamia kwenye nyumba yangu mwenyewe..

Fast forward ten years later baada ya kuondoka kwenye Kile chumba nilichokuwa nimepanga:

Last weekend nilienda kwenye duka la kuuza dawa za kisuna kununua ubani. Hamad!!! Nakutana uso kwa macho na jamaa.

Amechoka Hatari.

He looks like he died last week.

Viatu suruali na shati alilovaa they look like the ones which were used by Mr. Noah in the ark..

Jamaa alikuwa mpole sana aliponiona .

Alikuwa anajikuta Yohana Mbatizaji sasa hivi na yeye anajua ubani mashtaka na chetezo ni nini..

Wagalatia bana yani ukichoma ubani ule moshi wa ubani huwa wanahisi kama majini yanawavaa wanapo nusa harufu ya moshi huo.

Wanaunyanyapaa kama mti wa shetani vile wakati kwenye bible imeandikwa hapo Mwanzo alikuwepo neno nae neno alikuwa Kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu vitu vyote visingeweza kufanyika pasipo neno . So hata mti wa frankincense ( ubani Maka) uliumbwa Na neno pia ambae Kwa wa wakristo huyo NENO Ni Yesu.

Ndio maana Mungu anasema Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa ( Hosea 2:13)

Is it not in ur Bible kwamba Yesu alipo zaliwa mamajusi walipeleka zawadi ya Ubani Na Manemane?

Who instructed you guys to demonize Frankincense and myrrh?

Big up Sana Kwa kanisa katoliki, wao WANAJUA nguvu ya Ubani Ni Nini ndio maana kwenye ibada zao huwa Wana Choma ubani.

Moja Kati ya faida ZA ubani Na/au mafusho mengineyo Ni kufungua Anga la sayari husika kulingana Na siku husika ili kutumika kama point of contact Kati yako wewe unae omba Dua Na Malaika WANAO tawala sayari/siku hiyo. Hili Ni Moja Tu Kati ya matumizi ya Ubani.



Moral of the story: Mnaoishi kwenye nyumba za kupanga acheni kuwabugudhi wapangaji wenzenu wanao Choma ubani.

Na nyie mnao Choma ubani kwenye nyumba za kupanga just be proud of urself. Msione aibu kuchoma ubani. It is okay for you to do that
Wewe sema ulitaka kutuambia una nyumba. Hebu tuone picha yake isije ikawa tambo zote hizi kumbe banda.
 
Kiimani nimekuelewa sana mkuu. Uko sahihi. Hata mimi nilifundishwa kuomba kwa ubani kwasababu kanisani kweli tunatumia. Huwa nafanya pale najiona nimeelemewa na msalaba fulani. Na sikufichi najibiwa sana. Tatizo huo mzuka umepotea kidogo.

Nashukuru umeelimisha kidogo. Mwenyewe nilidganigi ni ushirikina kutumia ubani. Lakini maandiko yako wazi. Ukisali kwa kumaanisha majibu huja haraka sana

Tatizo mkuu, umeandika kwa jazba sana. Kidogo punguza hasira. Jamaa alishakua na uelewa kwamba ni ushirikina. Kumbe sivyo. Pia ungemwonyesha upendo. Hivyo ungekua umemsaidia zaidi. Mitihani ya maisha huja wakati wowote wewe hutegemei. So hilo ni karibu lake na si kwasabababu alikwambia zima ubani. Kila mtu hupitia kikombe chake. Kitu bora zaidi ni kukinywa kwani wakati wa furaha uko mbele waja. Hongera sana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kiimani nimekuelewa sana mkuu. Uko sahihi. Hata mimi nilifundishwa kuomba kwa ubani kwasababu kanisani kweli tunatumia. Huwa nafanya pale najiona nimeelemewa na msalaba fulani. Na sikufichi najibiwa sana. Tatizo huo mzuka umepotea kidogo.

Nashukuru umeelimisha kidogo. Mwenyewe nilidganigi ni ushirikina kutumia ubani. Lakini maandiko yako wazi. Ukisali kwa kumaanisha majibu huja haraka sana

Tatizo mkuu, umeandika kwa jazba sana. Kidogo punguza hasira. Jamaa alishakua na uelewa kwamba ni ushirikina. Kumbe sivyo. Pia ungemwonyesha upendo. Hivyo ungekua umemsaidia zaidi. Mitihani ya maisha huja wakati wowote wewe hutegemei. So hilo ni karibu lake na si kwasabababu alikwambia zima ubani. Kila mtu hupitia kikombe chake. Kitu bora zaidi ni kukinywa kwani wakati wa furaha uko mbele waja. Hongera sana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Always do to people, what they are doing to you. Don't u ever forget this rule which is to live by.

As for me, my attitude towards any person will depend on the attitude of that person towards me
 
Maelezo kibao but sijaelewa mlengo wa uzi huu?.. kwa faida yangu Ubani ni nini na Nini faidi ya kuchoma Ubani?
 
Kiimani nimekuelewa sana mkuu. Uko sahihi. Hata mimi nilifundishwa kuomba kwa ubani kwasababu kanisani kweli tunatumia. Huwa nafanya pale najiona nimeelemewa na msalaba fulani. Na sikufichi najibiwa sana. Tatizo huo mzuka umepotea kidogo.

Nashukuru umeelimisha kidogo. Mwenyewe nilidganigi ni ushirikina kutumia ubani. Lakini maandiko yako wazi. Ukisali kwa kumaanisha majibu huja haraka sana

Tatizo mkuu, umeandika kwa jazba sana. Kidogo punguza hasira. Jamaa alishakua na uelewa kwamba ni ushirikina. Kumbe sivyo. Pia ungemwonyesha upendo. Hivyo ungekua umemsaidia zaidi. Mitihani ya maisha huja wakati wowote wewe hutegemei. So hilo ni karibu lake na si kwasabababu alikwambia zima ubani. Kila mtu hupitia kikombe chake. Kitu bora zaidi ni kukinywa kwani wakati wa furaha uko mbele waja. Hongera sana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kuna mahusiano gani kati ya Ubani na maombi?
 
Unajikweza ila uandishi wako tu inaonekana bado una utoto ndani yako
 
Nilipo maliza chuo mwaka 2011 sikutaka kabisa kukaa home. Infact nimeanza kukaa gheto toka nipo form five way back in 2005.

So nilipo maliza chuo fasta Nika Enda kupanga chumba mitaa fulani jijini Darusalama Mbali Na kitaa nilicho zaliwa Na kukulia..

Sikutaka kuishi karibu Na mitaa ya nyumbani kwetu...

Kwa Sisi watoto wa kiislamu kuchoma ubani Ni Jambo la kawaida Sana.

So kama kawaida nilikuwa nachoma ubani Kila ifikapo usiku wa kuamkia ijumaa.

Kwa Sababu nafahamu baadhi ya ndugu zetu wakristo kwa Sababu ya kukosa kwao maarifa sahihi ya kiroho ( Hosea 2:18) wanakuwaga na phobia Sana Na Moshi wa ubani hasa ubani ujulikanao kama ubani Maka ( Frank incense) so nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha Moshi hauvuki kwenda vyumba vya wapangaji wenzangu Kwa Sababu baadhi Yao walikuwa wakiristo..

So nilikuwa nikisha washa mkaa ukawa tayari kwa kuchoma ubani ntajifunika gubi gubi na shuka then ndo natosa ubani wangu kwenye chetezo.

Hata hivyo still bado Moshi kidogo ulikuwa unavuka na kwenda vyumba vya jirani Ingawa sio Kwa kiasi kikubwa kihivyo..

Bana we, ilikuwa kila nikichoma ubani hata kabla sijamaliza Dua zangu nasikia jamaa ( mpangaji mwenzangu) ana bisha hodi..

Alikuwa anapiga mlango mpaka ahakikishe nimefungua na kila nikifungua ananiambia aisee kuna moshi unatoka kwako, uzime.

Alikuwa ananikwaza sana huyu jamaa. And as if that is not enough akaenda kumwambia na mwenye nyumba kwamba kuna mtu anachoma ubani usiku.

Bahati nzuri mwenye nyumba ni mtoto wa mjini na yeye mwenyewe ni mswahili so akawa ananiacha. Kuna boya mjinga mjinga anasema eti unachoma ubani unamkwaza ila usimjali sana kwa sababu mtu mwenyewe mgalatia halafu ametoka mkoani mjini ameletwa na chuo kwa hiyo wewe ishi naye hivyohivyo..

Three months later nilitoka katika nyumba hiyo nikaenda kupanga nyumba nzima ya peke yangu ambako huko nilikuwa huru kuchoma ubani na mafusho kila siku kulingana na siku husika plus kuwaleta mashekhe na watoto yatima kwa ajili ya visomo vya usiku, kuchinja kondoo nakadhalika..

Two years later nikahamia kwenye nyumba yangu mwenyewe..

Fast forward ten years later baada ya kuondoka kwenye Kile chumba nilichokuwa nimepanga:

Last weekend nilienda kwenye duka la kuuza dawa za kisuna kununua ubani. Hamad!!! Nakutana uso kwa macho na jamaa.

Amechoka Hatari.

He looks like he died last week.

Viatu suruali na shati alilovaa they look like the ones which were used by Mr. Noah in the ark..

Jamaa alikuwa mpole sana aliponiona .

Alikuwa anajikuta Yohana Mbatizaji sasa hivi na yeye anajua ubani mashtaka na chetezo ni nini..

Wagalatia bana yani ukichoma ubani ule moshi wa ubani huwa wanahisi kama majini yanawavaa wanapo nusa harufu ya moshi huo.

Wanaunyanyapaa kama mti wa shetani vile wakati kwenye bible imeandikwa hapo Mwanzo alikuwepo neno nae neno alikuwa Kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu vitu vyote visingeweza kufanyika pasipo neno . So hata mti wa frankincense ( ubani Maka) uliumbwa Na neno pia ambae Kwa wa wakristo huyo NENO Ni Yesu.

Ndio maana Mungu anasema Watu wangu Wana angamia Kwa kukosa maarifa ( Hosea 2:13)

Is it not in ur Bible kwamba Yesu alipo zaliwa mamajusi walipeleka zawadi ya Ubani Na Manemane?

Who instructed you guys to demonize Frankincense and myrrh?

Big up Sana Kwa kanisa katoliki, wao WANAJUA nguvu ya Ubani Ni Nini ndio maana kwenye ibada zao huwa Wana Choma ubani.

Moja Kati ya faida ZA ubani Na/au mafusho mengineyo Ni kufungua Anga la sayari husika kulingana Na siku husika ili kutumika kama point of contact Kati yako wewe unae omba Dua Na Malaika WANAO tawala sayari/siku hiyo. Hili Ni Moja Tu Kati ya matumizi ya Ubani.



Moral of the story: Mnaoishi kwenye nyumba za kupanga acheni kuwabugudhi wapangaji wenzenu wanao Choma ubani.

Na nyie mnao Choma ubani kwenye nyumba za kupanga just be proud of urself. Msione aibu kuchoma ubani. It is okay for you to do that
Ilinichosha sana kusoma mwanzo sikuona chocjote cha kukuambia ila Roho Mtakatifu akasema nami wewe unafaa sana kuwa mwalimu wa Biblia aisee YESU anakupenda OKOKA ili umtumikie
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Back
Top Bottom