Sasa anakichukiq mwenzako wewe unanuna...no kweli kina vitu Fulani Waislam ma Madhehebu mengine ya Kikiristo wanachomaga' harufu yake hunichefua!Ishu sio kuchoka ila ishu ni kuchukua ubani Huo Huo ambao alikuwa ananibugudhi nilipo kuwa nauchoma...
Hata manukato wanayopaka Waislam wengi huwa yananitia kichefuchefu!