Wanasiasa waliotajwa hapa JamboForums.com kwamba walikuwa in marafiki au wafwasi wa Oscar Kmbona - Fundikira, Malecela, Lusinde, Kamaliza, Mkapa na wengineo - hakuna ushahidi wowote unao onyesha kwamba walihusika na kesi ya uhaini, jaribio la mapinduzi October 1969, pamoja na Kambona?
Swali...