Wasomi wana mchango mkubwa sana kulingana na viwango na aina zao za Elimu,wako mashambani,maofisini,viwandani na kwingineko ambapo huchangia michango ya hali na mali ili kusukuma gurudumu la maendeleo. Anayekataa na kupuuza mila nzuri za jamii yake inatokana na kasumba na kukosa kujiamini na...
kimsingi elimu inajianisha katika makundi mawili makuu kulingana na mfumo wa ujifunzaji ambayo ni mfumo rasmi na ule usio rasmi. Hakuna elimu iliyo muhimu zaidi ya nyingine kwani kila moja ina matarajio na malengo ya kuwapa watu weledi wa kung'amua namna ya kubadilisha maisha ili yawe na tija...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.