Madeal ya SERIKSLI ndiyo mazuri kuiba hata hivyo hawakutaka tu kuliba deni kwa wakati walikuwa wanazowa tu na wakiziba tu PESA za MaxMalipo UNAJUWA wabongo
HAKUUA MTU!! ALIMTUMIA HUYO DAKITARI KUCHUKUWA MAITI MORTUARY NA KUIWEKA KWENYE CHUMBA CHAKE GEREZANI NA KUKIWASHA MOTO. HAKUUWA MTU ALITUMIA MAITI ILIYOKUWA MORTUARY. HAPO WATU WENGI WANAHUSIKA SANASANA ATARUDISHWA JELA KUTUMIKIA KIFUNGO CHAKE. HAPO POLISI WANAHUSIKA, WATU WA UHAMIAJI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.