Recent content by chavalla

  1. chavalla

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Navihitani mkuu hasa vitunguu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. chavalla

    Wapi nitapata vitunguu?

    Mkuu mbona stres tena Sent using Jamii Forums mobile app
  3. chavalla

    HABARI WANAJAMVI

    Msaada wenu nina mpango wa kuanza mutengeneza san tizer shida, ni vifungashio naomba muongozo wenu navipatane na bei zake. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. chavalla

    Wapi nitapata vitunguu?

    Ahsante sana nimepitia mengi sana miaka 18 na sasa nipo nyumbani Sent using Jamii Forums mobile app
  5. chavalla

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Nipo njomb hapa mwenye conectione ya vitunguu na viazi batata ani pm Sent using Jamii Forums mobile app
  6. chavalla

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Conection ya vitunguu na viazi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. chavalla

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Hapo na mi nasikilizia mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. chavalla

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mi natafuta conection ya biashara ya mazao Sent using Jamii Forums mobile app
  9. chavalla

    Wapi nitapata vitunguu?

    Nilikuwa naishi Mozambique hasa mkoa wa Cabodelgado ila kutokana na changamoto za kiusalma kule nimeamua kurudi kwetu na nipo Njombe. Na nataka sasa kujishughurisha na biashara ya vitunguu. Wanajamvi naomba kujua kwa sasa naweza kuvipata wapi? Kwa ushauri waweza nipata kwa no yangu 0715555521...
  10. chavalla

    Polisi Monduli, Mzee Lowassa anakuja kutengua kauli ya Rais ya maandamano, je Safari hii mtamruhusu?

    Siasa mchezo wa hovyo sana Sent using Jamii Forums mobile app
  11. chavalla

    sober ya warahabu wa NYETO (CHAPUTA).

    Sina uhakika Kama unaweza kuwanusuru. Maana kale kamchezo katamu sana Sent using Jamii Forums mobile app
  12. chavalla

    Mlimani City kuna nini? Kitu cha laki tano Kariakoo kule kinauzwa Millioni Moja

    Lakini uzuri wa kkoo hawakufichi wanakwambia kabisa hii ni no 2 na og pia zipo sasa mwenzangu na Mimi usije ukakimbilia 450 utakuwa boya jipange ununue og Sent using Jamii Forums mobile app
  13. chavalla

    Mlimani City kuna nini? Kitu cha laki tano Kariakoo kule kinauzwa Millioni Moja

    Mkuu tusibishani ukweli ndo huo asioimia kubwa wanaoingia pale ni kwanzia mawazili wabunge na matajiri pale wa hali ya chini anafata mkumbo tu. Na hayo mashop ndo wanaongoza kuuza vitu kanyanga. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. chavalla

    Mlimani City kuna nini? Kitu cha laki tano Kariakoo kule kinauzwa Millioni Moja

    Ukweli ni huo vipo juu kwasababu ya hadhi yake ni kubwa ko kunahaja gani mtu wa maisha ya chini akanunue 20000 wakati anajua kkoo ni 5000? Ukweli ni kwamba pale ni kwa watu wa maisha ya juu. Ambao hawawezi kupambana na vurugu za kkoo. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom