Recent content by Chautundu Wetu

  1. C

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Kiwanda cha 21st Century kinaungua moto muda huu

    Ni kiwanda cha nguo chenye utaalamu wa kuungua mara kwa mara wakitegemea kulipwa Bima
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Usi-like?

    Tusio wachoyo wa like tuna comment pia?
  3. C

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Kiwanda cha 21st Century kinaungua moto muda huu

    Kiwanda cha 21st Century kinaungua moto mida hii. Kiwanda hicho kinamilikiwa na METL. Si mara ya kwanza kiwanda hicho kuungua moto, mara ya mwisho ilikuwa 2016 Kulikoni METL?
  4. C

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mwaka 2019 ni wa kurudisha Demokrasia, Haki na Utu wetu Tanzania (Sehemu ya Kwanza)

    MWAKA MPYA 2019: MWAKA WA KURUDISHA DEMOKRASIA, HAKI ZA BINADAMU NA UTU WETU TANZANIA SEHEMU YA KWANZA Tundu AM Lissu, MB University Hospitals Leuven, Campus Gasthuisberg, Leuven, Ubelgiji Januari 6, 2019 Wapendwa Watanzania wenzangu, Leo tarehe 6 Januari, 2019, ni mwaka mmoja kamili...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tutumie fursa ya nchi zinazopigana kwa kufaidika na matatizo yao kwa kuwauzia chakula

    Ni wajibu wetu hizi fedha zote zinazokuja kusaidia wenzetu wakimbizi katika nchi nyingine wenye shida sisi tupate ‘reciprocal process’ ya kufaidika na matatizo yao. Wao wapigane kule sisi tupate hela,” amesema Rais Magufuli. Sijasema kwamba wanapenda kupigana lakini kupigana kwao pia kuwe na...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

    Si tumeambiwa ni propaganda tu?
  7. C

    JamiiForums Tanzania Mada: Faida za kulala kila siku hadi saa 6 mchana

    Ongeza faida mkuu
  8. C

    JamiiForums Tanzania Mada: Faida za kulala kila siku hadi saa 6 mchana

    Uvivu una watu wake, uvivu una utaalam si suala la kila mtu kuiga. Zingatia umri na vigezo na mashariti!
  9. C

    JamiiForums Tanzania Mada: Faida za kulala kila siku hadi saa 6 mchana

    Bangi imeingia vipi hapa? [emoji38][emoji38]
  10. C

    JamiiForums Tanzania Mada: Faida za kulala kila siku hadi saa 6 mchana

    1. Hakuna gharama za Break Fast (yaani kifungua kinywa) 2. Hakuna bugudha ya kuwahi bafu (kwa wale wenzangu wanaokaa nyumba yenye bafu na choo kimoja) 3. Hakuna bugudha ya kuweka alarm. 4. Huna pressure ya kukumbana na kibaridi cha asubuhi. 5. Kitanda kinafurahia uaminifu wangu wa kukutumia...
Back
Top Bottom