Recent content by Chato tena

  1. Chato tena

    Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

    Mbona alipoambiwa ngosha aongoze mpk atawale haukusema
  2. Chato tena

    Makamba: Kurekebisha alichofanya Hayati Magufuli sio usaliti. Dalili nilizoanza kuziona si nzuri

    Masta mind wa hili ni PM wake na makamu wa Rais hawa ni wakufuza (PM)na makamu wa Rais ni kumblack mail,
  3. Chato tena

    Makamba: Kurekebisha alichofanya Hayati Magufuli sio usaliti. Dalili nilizoanza kuziona si nzuri

    Hakuna sehemu katika quran imekataza kuwasema watu waovu mfano firauni anzazungumziwa moaak leo. Na lengo ni kuwakumbusha waannaaadam waache vitimbi wanapokua katika dunia
  4. Chato tena

    Muda wa kutengeneza pesa huu

    Wewe kaka/mdada mimi huko sipo kwa taarifa zilizopo mambo ni salama
  5. Chato tena

    Muda wa kutengeneza pesa huu

    Mambo ya PMG ni hatari watatutua na njaa.
  6. Chato tena

    Muda wa kutengeneza pesa huu

    Habari wana jamvi ni muda wa kufanya kazi ili kujipatia kipato halali na maisha yaweze kundelea. Watanzania tuache longolongo na maneno mingi ili kukuza uchumi wetu. Pia tunafanya dua kwa wagonjwa wote waliopo katika mahosipital, majumbani Mungu awape tahafifu ili waweze kupona magonjwa yao...
  7. Chato tena

    Hivi haya ni ya kweli wahanga wa ajira?

    Hakuna aliyepata mshahara wewe endelea kubwabwaja
  8. Chato tena

    Hivi haya ni ya kweli wahanga wa ajira?

    Mtausababishia uzi wangu ufutwe
  9. Chato tena

    Covid 19: Rais Kenyatta apiga marufuku mikusanyiko ya kisiasa kwa siku 30. Curfew yaongezwa kwa siku 60

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza taratibu mpya za kudhibiti janga la COVID-19 nchini humo ikiwa ni pamoja na: Mikusanyiko ya kisiasa imepigwa marufuku kwa siku 30. Marufuku ya kuwa nje usiku imerefushwa kwa siku 60 zaidi Mabaa na kumbi za burudani kufungwa kuanzia saa tatu usiku. Mazishi...
  10. Chato tena

    Hivi haya ni ya kweli wahanga wa ajira?

    “Katika kipindi cha kuanzia July, 2020 hadi January, 2021 jumla ya ajira 450,416 zimezalishwa katika sekta mbalimbali, kati ya ajira hizo, ajira 169,475 zimetokana na utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya Serikali na ajira 280,941 zimezalishwa katika sekta binafsi”-Waziri Mpango leo Dodoma...
  11. Chato tena

    Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

    Mimi si mnyamwezi subiri tuone
  12. Chato tena

    Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

    Nilikuwa najua tuu nyoka lazima mtoke pangoni, Ngoja nikuwekee ushahidi wa huyo mkuu wako anaenda kumtoa mwanafunzi wake
  13. Chato tena

    Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

    Niko on field na niko kazini kama ukitaka maushahid kama yote yapo hakuna shida halafu siandikagi vitu vya kubumba kaka.
Back
Top Bottom