Recent content by charz91

  1. charz91

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Wakuu Mulugo ni mbunge wa kwetu kule Songwe lakini pia ni jirani kabisa na mahala ambapo mhimiri wa ukoo wetu ulipo, nasikitika kuzaliwa karibu na mtu wa aina hii Mulugo ni mkimbizi wa akili zake mwenyewe...
  2. charz91

    Maalim Seif ajibu tuhuma za kumsaliti Abdu Jumbe

    Maalim bado umekuwa kiongozi wa Mfano kwangu, lakini nikushauri kwenye hili jambo la kumsema Aboud Jumbe ungejibanza pembeni kabisa madhari wazanzibari hawalisemi sana basi nawe ungelikaa kimya tu. Kama umeshindwa kulisema wazi kwa miaka yote 32 angali Jumbe yu hai haina maana kusema leo...
  3. charz91

    Amama Mbabazi: Kundi la Raia kutoka Tanzania na Rwanda wanasafirishwa kuja kumpigia kura Museveni

    Mgombea Urais nchini Uganda, Amama Mbabazi amedai Watanzania na Wanyarwanda wanasafirishwa hadi Uganda kumpigia kura Rais Museveni. Soma Amama Mbabazi: Kundi la Raia kutoka Tanzania na Rwanda wanasafirishwa kuja kumpigia kura Museveni
  4. charz91

    AJALI: Basi la Simba Mtoto lagongana na Lori na kusababisha vifo 11, majeruhi 26 Korogwe, Tanga

    Basi la Simba Mtoto limegongana na Lori la mizigo huko Korogwe, Tanga na kusababisha vifo na majeruhi kadhaa(idadi kamili bado). Zaidi AJALI: Basi la Simba Mtoto lagongana na Lori na kusababisha vifo, majeruhi huko Korogwe - Tanga
  5. charz91

    Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    Zanzibar ni nchi.
  6. charz91

    Marubani wa Shirika la Lufthansa bado hali ni tete

    Marubani wa Ndege wa Shirika la Lufthansa nchini Ujerumani wameendelea na mgomo leo na kupelekea Safari takribani 1,000 kusitishwa. Soma Germany: Lufthansa pilots strike for second day, 1,000 flights cancelled
  7. charz91

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Wakuu Mimi nakwenda Mbali zaidi, katika kuyajadili maneno ya huyu anayejiita Askofu Gwajima aliyoyatoa jana tar 08.09 katika ukumbi wa Landmark Hotel, kama majibu kwa Dr. Slaa kufuatia Dr. Slaa kumwita yeye (Gwajima} mshenga wa kukaribishwa kwa Mh. Edward Lowasa ndani ya CHEDEMA. Ndugu zangu...
  8. charz91

    Happy birthday to me

    Leo naongeza umri, nimshukuru Mungu kwa kunifikisha hapa
  9. charz91

    CCM, Mnajifunza nini kwa chama tawala Nigeria kuanguka Vibaya katika uchaguzi?

    Mmmh, swali ni gumu sana na naamini Mwenyekiti wa Chama hana majibu, ila Nape atajitahidi kujibu...haha.
  10. charz91

    Lazima utoke jasho, kisha upate

    LAZIMA UTOKE JASHO, KISHA UPATE LAZIMA tuelewe yakuwa mafanikio hayaji kwakuyadhania, yaani madhari tu unafikiria kwamba siku moja utakuwa na maisha mazuri kwa kiwango hicho cha kijidhania kwako na ikawa hivyo, hapana. ni lazima ujishughurishe, mara nyingi watu ujidhania kwamba ugumu wa maisha...
  11. charz91

    Miaka 53 ya uhuru, ni uhuru kwa nchi gani?

    MIAKA 53 YA UHURU, NI UHURU KWA NCHI GANI? Leo 9 Dec 2014 Ni mwaka wa 53 tangu ile nchi iliyofahamika zamani kama Jamhuri ya watu wa Tanganyika ijipatie uhuru wake mnamo 9 Dec 1961. Hakuna siri, na wala sidhani kama kuna mtu yeyote anaweza kubisha hili la kwamba Jamhuri ya watu wa Tanganyika...
  12. charz91

    Komba, ulijuaje Nyerere atakufa hadi utunge nyimbo za maombolezo yake??

    Kitabibu Mwalimu alikufa kabla ya october 14, lakini hata hivyo bado haileti connection ya kwamba Komba alipata wapi? Habari hata akaandaa nyimbo zote zile, Kusema kwamba Benjameni Mkapa aliweza kuwadokeza watu wake wakaribu hata Komba, akazipata taarifa na kujiandaa nyimbo zile dhana hiyo...
  13. charz91

    Ya Francois Compaore na Paulo Makonda wetu!

    Ya Francois Compaore na Paulo Makonda wetu! NIANZE makala hii kwa kukumbusha makala yangu niyowahi kuiandika mara tu Mheshimiwa Jaji Warioba alipotangazwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kuandaa Rasimu ya Katiba. Niliandika kumshauri Mzee Warioba akatae uteuzi huo kwa kuwa aliwahi kuwa Mwenyekiti wa...
  14. charz91

    Je! Haya ndio maisha bora kwa kila Mtanzania?

    Hoja ujibiwa kwa hoja, kujibu hoja kwa kashfa ni ujuha, Punguza kiwewe, Ewe mwana wa-ccm,
Back
Top Bottom