Unajua ukizingatia democracy,,shida sio kuichangia nchi shida ni kwamba kila kitu, kila wazo na maamuzi wanafanya wao pasina kutushirikisha wananchi na kutusikiliza tunahitaji nini na kwa muda gani bila kuzingatia yote wanayoyafanya yanatuumiza.
Sasa hii ndo ileeee maana halisi ya top-down...
Tatizo ni kwamba japo tunataka wanaume warefu saivi hawapatikani 😂 waliopo wengi sasahivi ni wafupi tu ndo wanaopatikana kwahiyo tunaishi na hao hao wafupi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.