Recent content by charmertee

  1. C

    Binafsi kuanzia sasa siweki tena pesa benki

    weeeeeeeee 🤣 🤣 🤣 🤣
  2. C

    Binafsi kuanzia sasa siweki tena pesa benki

    Unajua ukizingatia democracy,,shida sio kuichangia nchi shida ni kwamba kila kitu, kila wazo na maamuzi wanafanya wao pasina kutushirikisha wananchi na kutusikiliza tunahitaji nini na kwa muda gani bila kuzingatia yote wanayoyafanya yanatuumiza. Sasa hii ndo ileeee maana halisi ya top-down...
  3. C

    Baba wa ubatizo wa mwanangu ana uhusiano wa kimapenzi na mama wa mwanangu. Navukaje hapa?

    Ila kuoa kwasasa ni kama bado mapema ungetulia kwanza kwa muda. Kuamini haraka pia ni tatizo. "tough time never last, tough peole do"
  4. C

    Baba wa ubatizo wa mwanangu ana uhusiano wa kimapenzi na mama wa mwanangu. Navukaje hapa?

    Watu wanalazimisha ndoa kwasababu ya kulana kila siku na kula wakati na kwa uhuru aiseeee😋
  5. C

    Kila mwanamke anataka kuolewa na Mwanaume mrefu tu

    Tatizo ni kwamba japo tunataka wanaume warefu saivi hawapatikani 😂 waliopo wengi sasahivi ni wafupi tu ndo wanaopatikana kwahiyo tunaishi na hao hao wafupi
  6. C

    Kila mwanamke anataka kuolewa na Mwanaume mrefu tu

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Aiseeeeeeeee
  7. C

    Riwaya: Mwanamke Uliyekula Pesa Zangu Nakutafuta

    Ni nzuri sana aiseee abtali
Back
Top Bottom