Recent content by Charlzdeo 97

  1. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Hayo ni maswali ambayo unaweza kujiulza na ukapata majibu waz kwa kufkri tu.
  2. Charlzdeo 97

    Rais wa wanyoge barua yako hii hapa

    Naomba urepost hyo anwani kma umeiona naihitaji
  3. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Habari Mh rais Dr John Pombe Joseph Magufuli, Pole kwa majukumu mazito ya nchi kwa maana ya kitaifa na kimataifa kwa ujumla. Awali ya yote tunatoa pongezi za dhati kabisa kwa serikali yako ya awamu ya tano, chini ya uongozi wako kwa kazi nzuri ulizozifanya na unazoendelea kuzifanya katika...
  4. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    15H4C9M1, Ahsante sana, mungu akubariki.
  5. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Ni kwl wazo zuri, nashkuru sana.
  6. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    TODAYS, Nashkur kwa kutuelewa vzr zaid ni kma vle umeptia jeshi. Wazo zuri ahsante sana.
  7. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Econometrician, UNFIT maana ake tuna matatzo ya kiafya. Ni suala gum kdg kulizungumzia kiundani zaid, lakn kikubwa tunazd kumuomba mwenyez mung siku moja bas ifke na sisi ionekane thamani yetu na mchango wetu katika kulijenga Taifa. Ahsante sana.
  8. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Ni swala ambalo ni gumu kdg kulizungumzia hum kiundani zaidi lakn kikubwa kilio chetu tunahitaji kimfkie mheshimiwa Rais Ntashkuru kma utakua na msaada na hlo hata kuweza kushare.
  9. Charlzdeo 97

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Habari Mh rais Dr John Pombe Joseph Magufuli, Pole kwa majukumu mazito ya nchi kwa maana ya kitaifa na kimataifa kwa ujumla. Awali ya yote tunatoa pongezi za dhati kabisa kwa serikali yako ya awamu ya tano, chini ya uongozi wako kwa kazi nzuri ulizozifanya na unazoendelea kuzifanya katika...
Back
Top Bottom