Recent content by Charliemic

  1. C

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi juu ya umiliki wa hii ardhi

    Wataalamu wa Sheria mpo wapi?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi juu ya umiliki wa hii ardhi

    Habari wanajf! Jamaa alikuwa anamiliki kiwanja. 2022 Akaenda ofisi za Ardhi kwa lengo la kupima kiwanja chake, baada ya vipimo akaanza mchakato wa kuomba hadi, kabla hajafanya malipo kwa ajili ya hati akapata dharura na kusafiri ambapo alirudi mwaka huu, amekuta kile kiwanja chake tayari kuna...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Hivi hatuwezi kupangilia miji yetu?

    Nimezunguka maeneo mengi ya Dar es salaam kwa mtizamo wangu ni haukufanyiwa planning! Stendi za daladala vimetengenezewa msongamano mkubwa mno na kelele nyingi saana zisizokuwa na tija. Mfano stendi ya mbezi mwisho na mbagala rangi wajasiriamali wameweka vibanda visivyo rasmi ili kufanya...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa

    Nakuunga mkono asimilia mia moja, nimeobserve saana hili swala, na huwa mtu akinijibu huwa namuuliza unadhani umejibu ulichoulizwa?
  5. C

    JamiiForums Tanzania credit info Tanzania huduma zenu zinapatikanaje?

    Nimejaribu kutafuta huduma kutoka kwa credit info Tanzania hii ni wiki ya pili sasa, nilijaza form kwenye website yao ili kuomba kupatiwa loan report mpaka sasa sijapata majibu, namba ya simu iliyowekwa kwenye website haipatikani pia nimejaribu kuwatafuta kwenye namba ya WhatsApp halikadhalika...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Hili la Mpangaji kukutwa na Dawa za Kulevya na nyumba kutaifishwa litatekelezwa kwa Sheria ipi?

    Kiukweli hapo ni sawa na kumfanya mwenye nyumba awe mlinzi, kila siku awe anakuja kumkagua mpangaji amekuja na nini! mtu anapangishiwa nyumba/chumba hawezi kujisema kuwa anafanya illegal issues! Huwa hivi vitendo vinafanywa kwa siri saana! Muuza unga huwa haji na viroba vya unga wakati anakuja...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Mechi ya saa kumi na moja kawaida yanga anakufa na hili ndilo linakwenda kutokea!

    Ile mechi ilitakiwa ichezwe saa 11 , ikaahirishwa na kupelekwa saa moja ndipo Yanga akaigomea mechi ya saa moja usiku
  8. C

    JamiiForums Tanzania Hivi Kinu cha Nyuklia kikiripuliwa madhara gani yatatokea? Ndani ya mita za mraba ngapi?

    "Kikiripuliwa" ni neno la kilugha bila shaka
  9. C

    JamiiForums Tanzania Mwenye kufahamu Sumu ya kicheche

    Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
  10. C

    JamiiForums Tanzania Bei ya mashine za kufyatua tofali

    Naomba kwa anayefahamu bei na aina mbalimbali za mashine ya kufyatua tofali ambazo ni imara anijuze bei, na sehemu zinapopatikana
  11. C

    JamiiForums Tanzania LATRA kampuni ya mabasi ya BM inastahihli kufungiwa kwa utapeli

    Daaah, au wewe ndio mwanafunzi uliotakiwa kusafiri?
  12. C

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara Kariakoo wamekimbilia Mwenge, Tandika na Mbagala, wameona hali ngumu

    Kwani kama wanatesa familia zao wewe unaumia nn?
  13. C

    JamiiForums Tanzania Kuhisi kama Kitu kimekwama kooni

    Thank you
  14. C

    JamiiForums Tanzania Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

    Aseee nchi ngumu saana hii, yaani anayepambania wananchi anasulubiwa! Aseeeee!
  15. C

    JamiiForums Tanzania Kuhisi kama Kitu kimekwama kooni

    Hili tatizo halina dawa?
Back
Top Bottom