Wapendwa habari zenu poleni na majukumu ya kila siku naomba kupatiwa msahada Nina ndugu yangu anaitaji kusoma English course hapa dsm mwenye kujuwa sehemu inayo toa elimu nzuri tafadhari anipe maelekezo nielekee uko endapo janga hiri liki hisha yupo DSM Asante
Naomba kufahamu Kuwa mfano kampuni aipeleki pesa ktk mfuko wa jamoi nssf kwa muda wa miaka miwili akuna ata sent tano na ninapo kwenda nssf Wanadai awanaditell za kuniusu Mimi Kama kweli michango yangu ina kwenda nilipo kuwa nafanyia kazi napewa salary slip ambazo zinaonesha ukatwaji wa pesa na...
Je muajili asipo toa mkataba kwa muda wa miaka 2 then mwishon ana kufukuza kazi je yupo sahihi au ana kosa na je nikipewa mkataba siku ambayo ana nifukuzisha kazi ndipo Ni sain je nikubali au nigome msahada jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.