Recent content by charles Anangisye

  1. C

    JamiiForums Tanzania Wakristo: Msaada wa ufafanuzi kuhusu kunena kwa lugha

    nipende kunukuu moja kwa moja 1 wakorintho 14:2 Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake. Ukisoma hiyohiyo 1wakorintho 14:27 kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Steve Nyerere: TID anaishi kwa wazazi wake na akiona gari langu ananikimbilia kuniomba 5,000,

    mwaka huu uishe kwa amani tutasikia Mengi... Yetu macho na masikio
  3. C

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Kudhihurisha kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu atoe msamaha 7×70
Back
Top Bottom